Kodi ya pay as you earn (PAYE)

Se-qu-el

JF-Expert Member
Feb 20, 2013
236
113
Rais Samia Suluhu Hassan, alipoingia madarakani kwenye hotuba yake ya kwanza, kwenye maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi(MEI MOSI), aliahidi kwamba atahakikisha mshahara tu ndiyo utakaokatwa KODI, ili kumpunguzia mfanyakazi makali ya maisha, lakini naona hili bado halijafanyiwa kazi, kwani kukata KODI malipo ya OVERTIME, BONUS na marupurupu mengine ambayo siyo permanent ni kumuongezea mzigo mfanyakazi

Kwa mfano OVERTIME huu ni muda ambao mfanyakazi kaamua kuuza uhuru wake wa kufanya mambo mengine, halafu unakata kodi huu ni uonevu mkubwa sana, unaofanywa na serikali kwa watu wake, TUPAZE SAUTI KWENYE HILI LITEKELEZWE ILI TUPUNGUZE MZIGO KWA WAFANYAKAZI, AMBALO NDILO KUNDI LINALOONGOZA KUONEWA NA SERIKALI.
 
Wakati unalilia hayo marupurupu yako yasikatwe kodi, kuna wenzako wa kada nyingine hawapati chochote ndani ya mwezi mzima. Kweli dunia haiko fair.

Yaani ni sawa tu na wafanyakazi wanapolilia nyongeza ya mishahara, huku wahitimu wa vyuo vikuu wakitaabika mtaani kwa kukosa ajira. Yaani unakuta baadhi yao wako tayari kuajiriwa hata kwa mshahara wa laki 2 kwa mwezi! Na bado haiwezekani.
 
Rais Samia Suluhu Hassan, alipoingia madarakani kwenye hotuba yake ya kwanza, kwenye maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi(MEI MOSI), aliahidi kwamba atahakikisha mshahara tu ndiyo utakaokatwa KODI, ili kumpunguzia mfanyakazi makali ya maisha, lakini naona hili bado halijafanyiwa kazi, kwani kukata KODI malipo ya OVERTIME, BONUS na marupurupu mengine ambayo siyo permanent ni kumuongezea mzigo mfanyakazi

Kwa mfano OVERTIME huu ni muda ambao mfanyakazi kaamua kuuza uhuru wake wa kufanya mambo mengine, halafu unakata kodi huu ni uonevu mkubwa sana, unaofanywa na serikali kwa watu wake, TUPAZE SAUTI KWENYE HILI LITEKELEZWE ILI TUPUNGUZE MZIGO KWA WAFANYAKAZI, AMBALO NDILO KUNDI LINALOONGOZA KUONEWA NA SERIKALI.
Wakati wewe unalia overtime kukatwa kodi ujue kuna walimu wanaolipwa 500k mwezi mzima bila chochote cha ziada.

JIFUNZE KUSHUKURU KWA KILE ULICHOJALIWA.
 
Maisha sio magumu

20230922_140926.jpg
 
kama barabara kutengenezwa mpaka uwe jirani ya kiongozi na Tanzania nzima mikoa mingi barabara ni zile alizoacha mwinyi.barabara za mitaani za nje ya mji ni matope tu kama kingolwira.sioni haja ya serikali kukata kodi wakati hawatoi huduma rafiki kwenye makazi yetu sisi walipa kodi.n
vijiweni wanadai PK aliwahi sema bandari peke ake inatosha kuendesha nchi yetu ya TZ. ni bahati takwimu za fedha za bandari hatujui ila tunelezwa mzigo ni tani milioni 22.
 
Wakati unalilia hayo marupurupu yako yasikatwe kodi, kuna wenzako wa kada nyingine hawapati chochote ndani ya mwezi mzima. Kweli dunia haiko fair.

Yaani ni sawa tu na wafanyakazi wanapolilia nyongeza ya mishahara, huku wahitimu wa vyuo vikuu wakitaabika mtaani kwa kukosa ajira. Yaani unakuta baadhi yao wako tayari kuajiriwa hata kwa mshahara wa laki 2 kwa mwezi! Na bado haiwezekani.
Wewe muache .ndio maana William Shakespeare mwandishi Nguli kutoka Uingereza amewahi kusema kuwa aliacha kulia kwa kukosa viatu na kutembea peku pale alipokutana na mtu hana miguu.

Kuna vijana wanatafuta nafasi za malipo hata ya elfu 3 tu kwa siku bila kupewa hata chakula wala nauli lakini bado hawajafanikiwa kupata fursa hizo. Halafu yeye anaongea habari za posho sijuwi na marupurupu gani huko kutaka yasikatwe kodi.
 
Rais Samia Suluhu Hassan, alipoingia madarakani kwenye hotuba yake ya kwanza, kwenye maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi(MEI MOSI), aliahidi kwamba atahakikisha mshahara tu ndiyo utakaokatwa KODI, ili kumpunguzia mfanyakazi makali ya maisha, lakini naona hili bado halijafanyiwa kazi, kwani kukata KODI malipo ya OVERTIME, BONUS na marupurupu mengine ambayo siyo permanent ni kumuongezea mzigo mfanyakazi

Kwa mfano OVERTIME huu ni muda ambao mfanyakazi kaamua kuuza uhuru wake wa kufanya mambo mengine, halafu unakata kodi huu ni uonevu mkubwa sana, unaofanywa na serikali kwa watu wake, TUPAZE SAUTI KWENYE HILI LITEKELEZWE ILI TUPUNGUZE MZIGO KWA WAFANYAKAZI, AMBALO NDILO KUNDI LINALOONGOZA KUONEWA NA SERIKALI.
Duh mkuu kuwa na huruma, heri yako wewe mara 1000 wakati unalalamikia marupurupu yasikatwe kodi mimi sina hata hayo unayolalamikia ,huoni kuwa itakuwa uonevu mkubwa sana kwa sisi tusio na chochote kukatwa kodi huku wewe ambaye unapokea zaidi ukinufaika.


Tuache kulia lia ,tupende taifa letu na tulipe kodi ipasavyo,sidhani kama rais hili atalitekeleza,kuna kada yangu ya ualimu,sina chochote nipatacho nje ya msharaha lakini silalamiki,wewe unachochote nje ys mshahara una lia lia .
 
Rais Samia Suluhu Hassan, alipoingia madarakani kwenye hotuba yake ya kwanza, kwenye maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi(MEI MOSI), aliahidi kwamba atahakikisha mshahara tu ndiyo utakaokatwa KODI, ili kumpunguzia mfanyakazi makali ya maisha, lakini naona hili bado halijafanyiwa kazi, kwani kukata KODI malipo ya OVERTIME, BONUS na marupurupu mengine ambayo siyo permanent ni kumuongezea mzigo mfanyakazi

Kwa mfano OVERTIME huu ni muda ambao mfanyakazi kaamua kuuza uhuru wake wa kufanya mambo mengine, halafu unakata kodi huu ni uonevu mkubwa sana, unaofanywa na serikali kwa watu wake, TUPAZE SAUTI KWENYE HILI LITEKELEZWE ILI TUPUNGUZE MZIGO KWA WAFANYAKAZI, AMBALO NDILO KUNDI LINALOONGOZA KUONEWA NA SERIKALI.
Serikali ni kikundi cha wahuni. Walimu ndio wanaonewa zaidi na serikali hii ya kifisadi lakini nasikia eti walimu hao hao wameanza mchango wa kumchukulia fomu chifu Hangaya ili aendelee kuwakamua. Hawa walimu ni mbwa sana. Ngoja waendelee kunyanyasika kwa ujinga wao.
 
Huyo aliyewadanganya mei mosi iliyopita na mwaka huu tena mtaenda kumwangalia??



Sauti tutaioaza endapo utanijubu hili swali
 
Kuna vijana wanatafuta nafasi za malipo hata ya elfu 3 tu kwa siku bila kupewa hata chakula wala nauli lakini bado hawajafanikiwa kupata fursa hizo. Halafu yeye anaongea habari za posho sijuwi na marupurupu gani huko kutaka yasikatwe kodi
Jamaa anayo hoja ya msingi ila kwakuwa wakijani hawahitaji brain, si ajabu kuwaza hivi!

Ni hivi, sekta binafsi, waajiriwa wanakatwa kodi(paye) kwenye kila kinachoingia kwenye Payslip.

Waajiriwa wa serikali, wanakatwa paye kwenye BASIC SALARY tu!

Kama sheria ya kodi ya mapato inasema kila unachonufaika nacho kutokana na mkataba wako wa ajira, lazima ukilipie kodi, exemption ya kutokatwa paye kwenye allowances za watumishi wa umma inatokea wapi? Kwanini wao tu?

Muhindi akiamua kufanya kama huyo UMMA anavyofanya, kulipa OC na allowances nyingine kwa kuzikwepesha kwenye payroll, hamtamuita MKWEPA kodi?

Mmesema mbunge ana basic ya sh 2,500,000 na marupurupu yasiyopungua sh 9,000,000. Hivyo kama ni kodi, akatwe kwenye hiyo 2.5m tu, ile 9m ana cash kama ilivyo!
- Sekta binafsi, wakisema na wao kuwasaidia watumishi wao, kwa mwenye mshahara wa sh 1,000,000 alipwe sh 400,000 kwa sh 600,000; yaani, 400k ndo ikatwe kodi, 600k apewe cash, mtakubali?

Mwisho wa siku, wapunguze tu paye na vat, iwe vat 10% na paye band i-range kwenye 5% to 18%
 
Hapa umejibu vema, kuna double standards sana sasa wengine wanakatwa kodi, wengine hawakatwi hii ni hatari.
 
Back
Top Bottom