Se-qu-el
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 237
- 113
Huyu Prince Nderea alikua mkorofi eeh! Mbona yeye pekee kasimama chini na pozi tofauti
Ilikuwa Papua Guinea...halafu nasikia akiambana na malikia safari za nje ni lazima aharibu-...kuna mahali walienda walivyokuja kupokewa akawauliza mmeacha kula nyama za watu ?!!