Siku ya Kwanza kumiliki SUV sikulala!

Mashine sana hii GTS but still naiendea BMW X5 'M' V8 2015 0-100 KPH 4.9' tu rekodi ambayo cayenne, jeep na audi q5 na q7 the same class and manufacture yr wameshindwa kuivunja...GTS salute pia kama ni yako chukua hi ila BMW X5 hp 555 hata ndinga ya minister ya kijapani hainishiki BMW ni super suv isiyoongopa cayenne v8 comes second kwangu.
Humu JF mtu anaweza akajiona mnyonge,kumbe wazee wanacheki reviews Mitandaoni then imeisha hio.
 
Kweli mkuu GTS za kuhesabu huku niliko kwa sasa maana jamaa wananiulizia kama naiuza especially tukikutana carwash
Well kuhusu Audis SUVs nimeziendesha sana na ni nzuri pia nazipenda
Kuhusu BMW mimi sio mpenzi wa hizo
Kuna wakati niliendesha ila tatizo lake sio stable na pia hata ufunge madirisha na upo speed utasikia muungurumo wa upepo and I hated it

Hili GTS mzee ukikanyaga accelerator unaona mwili unarudi nyuma kama unavutwa hapo ndio utaona nguvu ya Porsche

Ila kwa kuhitimisha kila mmoja anaangalia ipi anapenda zaidi
Safi sana.

Porsche ni mnyama na bei ya kinyama.
 
Niliyojifunza kuhusu kumiliki gari kwa hela za kudunduliza ni kwamba LITAKUTESA SANA. Nilifanyia makosa kama yako kununua SUV kali ya ndoto zangu kwa hela ya kudunduliza mpaka nikaiandikia Uzi huku.


Leo hii imepaki miezi 12 kama siyo 13. Brothet, watu hawakuonei wivu ila kumiliki gari Hilo kwa hela za mawazo za miaka zaidi ya mitano. Mnhhh!


Nimejifunza kwa makosa yangu. Kama wakati ungerudi nyuma ningenunua hizi

TOYOTA Pixis Epoch G, 2010>
HONDA Life G, Zest 2010>
NISSAN Moco, Otti 2010>
MITSUBISHI EK Wagon 2010>

DAIHATSU Mira, Move, Esse 2010>
SUZUKI Alto, Wagon R, Palette 2010>
SUBARU Stella, Pleo, Lucra 2010>
MAZDA Carol 2010>

Ila uzuri ni kuwa tunajifunza kwa makosa. Ninaamini utajifunza ama utainjoi. Jiandae kwa lolote.

Note: kwa mtu mwenye hela za kudunduliza tafadhali USIKURUPUKE. Utalichukia gari, utawachukia watu. Heri ununue hizo nilizotaja
 
Sasa nilichosema hapo uongo uko wapi au haujui hayo magari yakipark mda mrefu yana lala na hujui kwamba gharama zake ziko juu kwenye spare parts utafananisha na Toyota Shekh, hiyo gari inaumeme sana sensor kibao suspension tu 4M labda zimeshuka now.

Tuambiane ukweli kama vijana itatusaidia zaidi kuliko kuchukulia kila jambo ni fitna na wivu
Mpaka suspension iharibike umesikia anapanda milima na mabonde.
 
Kweli mkuu GTS za kuhesabu huku niliko kwa sasa maana jamaa wananiulizia kama naiuza especially tukikutana carwash
Well kuhusu Audis SUVs nimeziendesha sana na ni nzuri pia nazipenda
Kuhusu BMW mimi sio mpenzi wa hizo
Kuna wakati niliendesha ila tatizo lake sio stable na pia hata ufunge madirisha na upo speed utasikia muungurumo wa upepo and I hated it

Hili GTS mzee ukikanyaga accelerator unaona mwili unarudi nyuma kama unavutwa hapo ndio utaona nguvu ya Porsche

Ila kwa kuhitimisha kila mmoja anaangalia ipi anapenda zaidi
Salute Chief
 
Mbona hii gari imenunuliwa na mtu kutoka Malawi ? Au na wewe unakaa Malawi? Please see this link on the bottom aliyenunua anatoa positive feedback to BE Forward: Used 2003 LAND ROVER RANGE ROVER VOGUE/GH-LM44 for Sale BK265563 - BE FORWARD
Jf imejaa ujinga mwingi sana, sasa inasaidia nn mwanaume kupost gari ya mwanaume mwingine na kujifanya kama ni yake? kama mtu hana pesa ni hana tu kikubwa atafute apate, Inshort kwa haya aliyoyaonyesha ni kwamba ana poor mindset, and therefore he don't belong to this class. ALE UREFU WA KAMBA YAKO NA ASIINGILIE MALISHO YA WENGINE.
Extrovert Glenn newazz whyme Lyamber The Icebreaker
 
Back
Top Bottom