Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,253
- 26,162
- Thread starter
- #41
Desalination project ya kunywesha watu Milioni 7 kwa jiji kama la Dar Hakuna gharama?Hakuna gharama yeyote mimi haya ndio mambo yangu, chimba kisima chako mimi nakuletea kimashine cha kutoa hizo chumvi hapo hapo nyumbani kwako.