Wataalamu wa Hesabu hapa shida ni nini?

Huyu nae muongo ingawa mzungu😆, lazima umalizane na mabano kwanza 6÷2(2+1) = 6÷2(3) = 6÷6=2. Kwa vyovyote vile lazima umalizane na mabano kwanza nyingine zote mbwembwe. Ndo maana ya BODMAS/MAGAZIJUTO(MABANO,GAWANYA,ZIDISHA,JUMLISHA,TOA).Tecno haiwezi kujua hesabu kuzidi Casio.
Mkuu, na wewe pia ni muongo squared.

6 ÷ 6 = 1 (siyo 2)
 
Huyu nae muongo ingawa mzungu😆, lazima umalizane na mabano kwanza 6÷2(2+1) = 6÷2(3) = 6÷6=2. Kwa vyovyote vile lazima umalizane na mabano kwanza nyingine zote mbwembwe. Ndo maana ya BODMAS/MAGAZIJUTO(MABANO,GAWANYA,ZIDISHA,JUMLISHA,TOA).Tecno haiwezi kujua hesabu kuzidi Casio.
Mkuu,
Umeenda vema ila hapo bold naona ukaingia chaka tena.
 
Huo ugonjwa wake uko wapi..ww ndo hujui i think..alichosema ni sahihi...hyo namba iliyopo krb na 2 outside bracket inamaana kuna alama ya kuzidisha ili kuifungua lazima uizidishe na hyo mbili ya ndani kivyake na ile moja kivyake...u multiply both numbers by 2...then una add...
Jibu utapata hyo hyo 1
Hakuna tofauti kati ya kumultiply kwanza namba za ndani kwa 2 halafu uzjjumlishe au ujumlishe kwanza ndo umultiply na 2.
Hio ni law ya algebra inaitwa distributive property.

And yes jibu ni 1
 
Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.


Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.

Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.

Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.

Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake

hiyo hesabu ya shule ya msingi ambayo hurudiwa form one kwa kiingereza Jibu ni 9
na ndio sababu nimeona wadau wakisema, huko primary hakuna msingi wa hesabu....
 
japo wachangiaji wote huko juu tumejikita kwenye kutafuta jibu sahihi. Ila Nafikiri Lengo la mtoa mada ni kutaka kujua shida ya izo devices ni nini mpaka zitoe majibu tofauti ya kihesabu kwa swali moja.

Mtoa mada nachokiona kwenye izo devices mbili kuna utofauti wa "programming language" za kihesabu ziliotumika kwenye izo devices, ndio maana zinatoa majibu tofauti kwa swali moja.

Iyo Simu na calculator yako inaonekana zimetumia mathematical programming language zenye utofauti kifogo. Shida ndipo hapo.

Tukirudi kwenye utofauti sa majibu, Kwa uzoefu wangu wa kihesabu nakubaliana na jibu la 1.
 
japo wachangiaji wote huko juu tumejikita kwenye kutafuta jibu sahihi. Ila Nafikiri Lengo la mtoa mada ni kutaka kujua shida ya izo devices ni nini mpaka zitoe majibu tofauti ya kihesabu kwa swali moja.

Mtoa mada nachokiona kwenye izo devices mbili kuna utofauti wa "programming language" za kihesabu ziliotumika kwenye izo devices, ndio maana zinatoa majibu tofauti kwa swali moja.

Iyo Simu na calculator yako inaonekana zimetumia mathematical programming language zenye utofauti kifogo. Shida ndipo hapo.

Tukirudi kwenye utofauti sa majibu, Kwa uzoefu wangu wa kihesabu nakubaliana na jibu la 1.
Hesabu inafuata kanuni na hapa tunafuata the standard order of operations aka PEMDAS kwahiyo parentheses must be resolved first then multiplication halafu division.

Wanaofuata formula nyingine wanaweza kufanya hivyo lakini hiyo sihihi kwamujibu wa order of operations.
 
Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.


Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.

Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.

Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.

Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake
Bodmas, jibu ni 1
 
Back
Top Bottom