Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,525
- 5,591
Kwenye Maombi kuna Jibu MOJA tu KUJIBIWA.Kwenye maombi kuna majibu mawili
1- kujibiwa
2- Kutojibiwa
3- Kuchelewa kujibiwa
Na yote hayo Mungu anayafanya kwa makusudi na maana kubwa.
Kwenye Maombi kuna Jibu MOJA tu KUJIBIWA.Kwenye maombi kuna majibu mawili
1- kujibiwa
2- Kutojibiwa
3- Kuchelewa kujibiwa
Na yote hayo Mungu anayafanya kwa makusudi na maana kubwa.
Hivyo unataka kusema bashiri anajaribiwa kama ayubu teh teh nakujibu Yakobo hakufiwa na mwanawe, Ibrahim hivyo hivyo, yusuph n.k kuhusu yuda watoto wake walikuwa SABABU walimkosea Mungu na hawakutubu biblia imeeleza waziwazi(walimkosea Mungu akawaua) huyo mmoja baada yakurithi mke wa kaka yake alikuwa anamwaga shahawa nje. Kwa kosa hilo Mungu akamuua...kasome tena...
Ayubu, Daudi, Mwanamke aliyempokea Elisha, mama Naomi mkwewe Ruthu, Yuda mtoto wa Yakobo... Kukutajia wachache.
Mtu akishaokoka na kuacha dhambi utaendelea kumhubiria kila ibada aache dhambi?ukristo umepoteza kabisa mwelekeo na maana zama hizi ambapo watumishi wengi wamejikita kwenye kuhubiri faida tu ya mapesa,majumba na magari na sio ucha mungu na unyenyekevu kama miaka ya tisini na elfu mbili mwanzoni tulivyoona wakati ulokole unashika kasi!!!wakati huu wa sarakasi hizi akili ya ziada inahitajika sana tu!!!
Wee sawa..Aaah kama ambavyo huo wa juzi haukukugusa ukamshukuru Mungu, ndivyo ambavyo nao hukwambia mshukuru Mungu kwa kila jambo. Maana hata huo wa juzi kuna ambao ukiwaambia hivyo hawakuelewi. Hope now utakuwa nao umewaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
thank youKwa huyu inawezekana ni pigo kutoka kwa Mungu kwasababu ni Kanjanja.
WALAKINI, Kwa watumishi sahihi wa Mungu hilo linaitwa ''JARIBU''
Mwl. Christopher Mwakasege alipata taarifa kuwa kijana wake amefariki, wakati yeye akiwa katikakati ya Ibada jukwaani katika mkutano mkubwa. Mwl. Mwakasege hakuacha ibada ila aliendelea kuwaombea wengine na mpaka ibada ilipoisha akafunga mkutano na kuondoka kuelekea hospitalini au Mochwari.
Alipokuja kuhojiwa kuwa alijisikiaje baada ya kupata taarifa akasema ni mipango ya Mungu na shetani alitaka kumjaribu kwa kumpima kama ataacha kufanya kazi aliyoagizwa na Mungu muda ule au lah, akasema lile ni Jaribu
Btw, kila Binadamu ana jaribu lake chini ya jua.
Hapa kwenye sentensi ya mwisho.🤣🤣🤣Naudhikaga misiba ya walokole au wasabato au wKiristo anakuja mtu anakuona unalia kwa uchungu anakuambia MSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO? jamani tukomane..nishukuruje sasa?labda msiba huu wa juzi 17.3
Anaemuamini Masanja automatically kuna mahali ipo mbaya kichwaniWahubiri wababaishaji walozi wajitafakari akina masanja