Tuwe makini na nchi yetu mbinu anayotumia Urusi inaweza kutumika hata kwetu pia

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,321
4,667
War is not a romance but a Hell, utakuwa kiumbe wa ajabu kama utafurahia yanayoendelea Ukraine na nchi yoyote ile yenye vita, sala zangu siku zote ni kuomba amani ya Dunia ili iwe sehemu salama.

Leo pale Ukraine ukiangalia idadi ya watoto very innocent wanaopeteza maisha imefika karibia mia 3 na pointi ndipo unajiuliza kosa la hawa watoto ni lipi, Urusi baada ya kumaliza kupiga mabomu vituo vya kijeshi sasa amehamia kwenye Supermarket, vituo vya reli, vyuo vikuu, shule, hospitali...nk

Hapo nimeonyesha madhara ya vita kwa kifupi twende kwenye Hoja sasa.

Mbinu anazotumia Mrusi zinaweza kutumika hata nchini kwetu tuwe makini na mipaka ya nchi yetu na jukumu la ulinzi wa nchi yetu ni Mimi na wewe.

Mbinu zenyewe ni hizi ukiangalia sasa Mrusi anasema Donbass, Crimea, Kherson, Mariupol, Luhanks kaongeza na Odesa anasema ni maeneo yake kisa yana Warusi wengi.

Kumbe mbinu anayotumia ni kuingiza Warusi wengi kwenye hayo majimbo/mikoa na mwisho wa siku wataanza kuzaana kwa wingi halafu atakuja na pointi kwamba RAIA wake walioko kwenye hayo maeneo wanaonewa na Serikali ya nchi husika ataanza propaganda zake ikiwa ni pamoja na kuwaambia wale RAIA walete fujo wakiguswa tu anasema wanaonewa kumbe lengo lake avamie nchi husika kijeshi na kupora yale maeneo.

Ukiangalia nchi zinazomzunguka ni dhaifu kijeshi basi atatuma makombora yake na kuharibu nchi za watu na mwisho wa siku anateka yale maeneo na kusema ni sehemu yake.

Nimesoma Article moja kuhusu Finland kuanzia sasa wanataka kujenga uzio eneo la mpaka wake na Urusi ili kuzuia ishu kama hizo pia ameanzisha vituo kwa ajli ya kuwahifadhi wageni wote wanaofika nchi kwake ili kuzuia warusi wasichangame/kuzaliana na raia wake anaogopa yasije kumpata ya Ukraine.

Ukiangalia nchi yetu pia imezungukwa na nchi nyingi tu hawashindwi kutumia mbinu hizi na kuanza kuleta chokochoko nchini mwetu.

Tuwe makini tuwe wazalendo tuipende nchi yetu tukumbuke tuna nchi moja tu.
 
Kagera na Kigoma karibu na mipaka na yule bwana mwenye kainchi kadogo anayesumbua nchi kubwa anayopakana nayo kwa kuwasaidia waasi mashariki mwa nchi kubwa inashangaza sana kwa nini nchi hiyo kubwa isimuadhibu kwa usumbufu wake
 
Kama walikuwa wamelala umewazindua usingizini. Kama wanalijua hili wapo makini kufuatilia nyendo zao.

So far ushauri wako ni mzuri.Tanzania imara ni yenye kuwa na mipaka imara siku zote.
 
Uko sahihi
Kama walikuwa wamelala umewazindua usingizini. Kama wanalijua hili wapo makini kufuatilia nyendo zao.

So far ushauri wako ni mzuri.Tanzania imara ni yenye kuwa na mipaka imara siku zote.
 
War is not a romance but a Hell, utakuwa kiumbe wa ajabu kama utafurahia yanayoendelea Ukraine na nchi yoyote ile yenye vita, sala zangu siku zote ni kuomba amani ya Dunia ili iwe sehemu salama.

Leo pale Ukraine ukiangalia idadi ya watoto very innocent wanaopeteza maisha imefika karibia mia 3 na pointi ndipo unajiuliza kosa la hawa watoto ni lipi, Urusi baada ya kumaliza kupiga mabomu vituo vya kijeshi sasa amehamia kwenye Supermarket, vituo vya reli, vyuo vikuu, shule, hospitali...nk

Hapo nimeonyesha madhara ya vita kwa kifupi twende kwenye Hoja sasa.

Mbinu anazotumia Mrusi zinaweza kutumika hata nchini kwetu tuwe makini na mipaka ya nchi yetu na jukumu la ulinzi wa nchi yetu ni Mimi na wewe.

Mbinu zenyewe ni hizi ukiangalia sasa Mrusi anasema Donbass, Crimea, Kherson, Mariupol, Luhanks kaongeza na Odesa anasema ni maeneo yake kisa yana Warusi wengi.

Kumbe mbinu anayotumia ni kuingiza Warusi wengi kwenye hayo majimbo/mikoa na mwisho wa siku wataanza kuzaana kwa wingi halafu atakuja na pointi kwamba RAIA wake walioko kwenye hayo maeneo wanaonewa na Serikali ya nchi husika ataanza propaganda zake ikiwa ni pamoja na kuwaambia wale RAIA walete fujo wakiguswa tu anasema wanaonewa kumbe lengo lake avamie nchi husika kijeshi na kupora yale maeneo.

Ukiangalia nchi zinazomzunguka ni dhaifu kijeshi basi atatuma makombora yake na kuharibu nchi za watu na mwisho wa siku anateka yale maeneo na kusema ni sehemu yake.

Nimesoma Article moja kuhusu Finland kuanzia sasa wanataka kujenga uzio eneo la mpaka wake na Urusi ili kuzuia ishu kama hizo pia ameanzisha vituo kwa ajli ya kuwahifadhi wageni wote wanaofika nchi kwake ili kuzuia warusi wasichangame/kuzaliana na raia wake anaogopa yasije kumpata ya Ukraine.

Ukiangalia nchi yetu pia imezungukwa na nchi nyingi tu hawashindwi kutumia mbinu hizi na kuanza kuleta chokochoko nchini mwetu.

Tuwe makini tuwe wazalendo tuipende nchi yetu tukumbuke tuna nchi moja tu.
Mbona kama unaota,issue ya urusi no ya kiusalama zaidi kwani Adui namba moja ana jua ni Amerika na kwa mgongo wa kinachoitwa nazo anamwona adui akigonga hodi mlangoni,kwa kuwatumia majirani wanaa wanaotuhumiwa na adui.Ila pia upo ukweli kuwa Warusi wa maeneo yaliyochukuliwa walinyanyaswa,zaidi baada ya kupandikizwa serikali ya Nazo hapo kyvi
 
Kama walikuwa wamelala umewazindua usingizini. Kama wanalijua hili wapo makini kufuatilia nyendo zao.

So far ushauri wako ni mzuri.Tanzania imara ni yenye kuwa na mipaka imara siku zote.
I hope wamezinduka sasa tuache kujisahau kabisa linapokuja suala la usalama wa nchi yetu Tanzania ni nchi nzuri sana sema kuanzia malezi yetu ya utoto yalitufanya tujione kama wanyonge ila nenda nchi nyingine katembea utajua Tz tumebarikiwa.

Ni mataifa mengi sana wanaitamani hii nchi hivyo hatuna budi kuilinda by any means.

Hongera Mkuu wa Majeshi kwa kuliona hilo.
 
Mbona kama unaota,issue ya urusi no ya kiusalama zaidi kwani Adui namba moja ana jua ni Amerika na kwa mgongo wa kinachoitwa nazo anamwona adui akigonga hodi mlangoni,kwa kuwatumia majirani wanaa wanaotuhumiwa na adui.Ila pia upo ukweli kuwa Warusi wa maeneo yaliyochukuliwa walinyanyaswa,zaidi baada ya kupandikizwa serikali ya Nazo hapo kyvi
kwamba Latvia na Finland kujiunga NATO sio htr kwa Urusi ila Ukraine bdo hatar kwa Urusi , wewe ni ng'ombez
 
War is not a romance but a Hell, utakuwa kiumbe wa ajabu kama utafurahia yanayoendelea Ukraine na nchi yoyote ile yenye vita, sala zangu siku zote ni kuomba amani ya Dunia ili iwe sehemu salama.

Leo pale Ukraine ukiangalia idadi ya watoto very innocent wanaopeteza maisha imefika karibia mia 3 na pointi ndipo unajiuliza kosa la hawa watoto ni lipi, Urusi baada ya kumaliza kupiga mabomu vituo vya kijeshi sasa amehamia kwenye Supermarket, vituo vya reli, vyuo vikuu, shule, hospitali...nk

Hapo nimeonyesha madhara ya vita kwa kifupi twende kwenye Hoja sasa.

Mbinu anazotumia Mrusi zinaweza kutumika hata nchini kwetu tuwe makini na mipaka ya nchi yetu na jukumu la ulinzi wa nchi yetu ni Mimi na wewe.

Mbinu zenyewe ni hizi ukiangalia sasa Mrusi anasema Donbass, Crimea, Kherson, Mariupol, Luhanks kaongeza na Odesa anasema ni maeneo yake kisa yana Warusi wengi.

Kumbe mbinu anayotumia ni kuingiza Warusi wengi kwenye hayo majimbo/mikoa na mwisho wa siku wataanza kuzaana kwa wingi halafu atakuja na pointi kwamba RAIA wake walioko kwenye hayo maeneo wanaonewa na Serikali ya nchi husika ataanza propaganda zake ikiwa ni pamoja na kuwaambia wale RAIA walete fujo wakiguswa tu anasema wanaonewa kumbe lengo lake avamie nchi husika kijeshi na kupora yale maeneo.

Ukiangalia nchi zinazomzunguka ni dhaifu kijeshi basi atatuma makombora yake na kuharibu nchi za watu na mwisho wa siku anateka yale maeneo na kusema ni sehemu yake.

Nimesoma Article moja kuhusu Finland kuanzia sasa wanataka kujenga uzio eneo la mpaka wake na Urusi ili kuzuia ishu kama hizo pia ameanzisha vituo kwa ajli ya kuwahifadhi wageni wote wanaofika nchi kwake ili kuzuia warusi wasichangame/kuzaliana na raia wake anaogopa yasije kumpata ya Ukraine.

Ukiangalia nchi yetu pia imezungukwa na nchi nyingi tu hawashindwi kutumia mbinu hizi na kuanza kuleta chokochoko nchini mwetu.

Tuwe makini tuwe wazalendo tuipende nchi yetu tukumbuke tuna nchi moja tu.
Naunga mkono hoja.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Lakini pia kwanini tusitumie ukubwa wetu na ushawishi wetu kuzimeza hizo nchi ndogo ndogo tunazopakana nazo Kama ambavyo urusi anafanya.
 
Mleta mada unajua kuandika lakini wewe ni sufuri bin sufuri kwenye ishu za geopolitics ni mweupe kabisaaa, kuielezea urusi na vita au maamuzi kuingiza vitani siyo suala la ushabiki ila ni fact zinazotakiwa kufuatilia Kwa maarifa na siyo propaganda
 
Back
Top Bottom