kuna waaovaa saa mkononi wanaitwa sir Meja....zipo saa za aina mbili saa ya kwanza inamwenge na saa ya pili inabibi na bwana.....huyu mwenye saa ya bibi na bwana ndio cheo cha mwisho kwa lever ya askari.....na hawa ndio huwa wakuu wa nidhamu katika kambi....wanamshara mkubwa kuliko hata Captain
unamlaumu mtoto wa miaka sita mbona kunamijibaba inakojoa hovyo chunguza kuta nyingi za nyumba zimeandikwa usikojoe hapa kwani inafikiri wanakuwa wameandikiwa watoto au wakubwa wazima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.