Lkn kwa nini kila siku ni mabasi??
Halafu mnasema barabara ni nzuri...angalia hiyo picha..kingo za barabara zipo vipi.
Hii ajali imetokea wapi? kila siku ajali,duh ni hatari
Halafu mnasema barabara ni nzuri...angalia hiyo picha..kingo za barabara zipo vipi.
duh wakaua na ng,ombe pia .. poleni wafiwa
pole na ng'ombe pia kwa kuondokewa na ng'ombe wenzao!