Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,415
- 95,828
Mkuu hili la kuiondoa CCM madarakani nadhani umekurupuka.
Nyie pambaneni na walaghai kama CHADEMA na washirika wake ili mje muwe chama kikuu cha upinzani lakini suala la kuchukua nchi bado sana, Kwani Watanzania wengi bado wana imani kubwa na serikali ya chama cha mapinduzi.
Teeeeh teeeh teeeh,Msalani bwana hufai leo tena umeanza kumkana mwanao act msaliti?