`Sasa Unaingia Mkoa wa Mara Be Strong`

Kiukweli mkuu wakifuta hayo maneno(SASA UNAINGIA MKOA WA MARA)watafanya kosa kubwa sana!!!!
Hiyo kitu inaletaga mzuka sana,ata ukiwa kwenye MUSOMA EXPRESS unatamani ushuke ili upige saluti mbele ya kibao kisha ndio uendelee na safari!!!!

Umeona eeeh,yaan unajiandaa kiamri na ubabe maana huku ht watoto wadogo nao ni wababe balaa. I wish hao panya road waje mara siku moja waone shughuli yake.
 
Mimi nachojua ubabe ni kwa kutafuta hela tu na kuzimiliki kwa wingi huo ndio uwanaume. Huna hela na maisha yako duni unajiita mbabe na mwanaume ndio walivyo wanaume wengi wa Mara hovyoo kabisa miili mikubwa hamna kitu kichwani.
 
Watakaokitoa watakuwa hawajitaki aisee maana ht askari wanaujua vizuri mziki wake.
Source ni jinsi gari yao ilivyo.

Watakaokitoa labda waende usiku wa manane. Mi nikiwa nasafiri nikiona tu hicho kibao nakaa attention maana ht makonda huwa wanachange ghafla ukizubaa wanakupitiliza tu. Ni hakuna kuremba,ubabe mwanzo mwisho.

Mkuu,lile bango la Ngorongoro/Serengeti? haiwezekani,hyo ni moja ya utambulisho wa Mara.
Yaani wanataka watuambia karibu mkoa wa Mara,huo utani uliopitiliza!

We!we!we!THUBUTU ZAO!wakifute???
TUTAANDAMANA MCHANA KWEUPEEEE!!!

Hatukubali kibao hicho kiondolewe au hata kubadilishwa. Hiyo ndo Identity yetu wana Mara.

Umeona eeeh,yaan unajiandaa kiamri na ubabe maana huku ht watoto wadogo nao ni wababe balaa. I wish hao panya road waje mara siku moja waone shughuli yake.

Nadhani Mkuu wa Mkoa wa Mara anapaswa kwanza ajue kwanini hicho kibao kina maandishi hayo. Huu utaratibu wa kuingia mahali na kuanza kupangua jadi za watu si mzuri hata kidogo.

Kiukweli mkuu wakifuta hayo maneno(SASA UNAINGIA MKOA WA MARA)watafanya kosa kubwa sana!!!!
Hiyo kitu inaletaga mzuka sana,ata ukiwa kwenye MUSOMA EXPRESS unatamani ushuke ili upige saluti mbele ya kibao kisha ndio uendelee na safari!!!!

Najua serikali ya mkoa wa Mara na Taifa wapo humu na watalifanyia kazi hili haraka sana,maana linavuta hisia za watu wengi!!!!
 
Au ndo hiki?
 

Attachments

  • 1426960420800.jpg
    1426960420800.jpg
    14 KB · Views: 699
Haya mambo ayajaanza Mara tu ata huku kwa wenzetu ngozi laini kuna mitaa korofi sn wanatoa angalizo kabisa so ni utamaduni wa watu.ila ningependa kuona kibao kama hicho in my home town Rachuga kwani huko nako watu wababe sana.
Mimi nachojua ubabe ni kwa kutafuta hela tu na kuzimiliki kwa wingi huo ndio uwanaume. Huna hela na maisha yako duni unajiita mbabe na mwanaume ndio walivyo wanaume wengi wa Mara hovyoo kabisa miili mikubwa hamna kitu kichwani.
 
hivi ni kweli kule tanga hakuna kibao cha kwaheri ?

Kaka TANGA kuna kuingia tu hakuna kutoka na ukifanikiwa kutoka basi dada zangu wenyeji watakuwa wamekupurusa vya kutosha isitoshe ni wakarimu mno,hata ukae miaka ishirini siku ya kuondoka ukiaga wadada watakuambia "jamani hata haujakaa WAJA LEO WAONDOKA LEO!" Wengi wametelekeza familia sababu ya Tanga.
 
Kaka TANGA kuna kuingia tu hakuna kutoka na ukifanikiwa kutoka basi dada zangu wenyeji watakuwa wamekupurusa vya kutosha isitoshe ni wakarimu mno,hata ukae miaka ishirini siku ya kuondoka ukiaga wadada watakuambia "jamani hata haujakaa WAJA LEO WAONDOKA LEO!" Wengi wametelekeza familia sababu ya Tanga.

Aise!!!!
 
maWabunge yenu ndio yakufunga vifungo hovyo hovyo nayo mnaona yanaakili

Ile style mpya bhana, kama za kunyoa mapenzi, nk. Hujui kwa nn anaitwa Tyson? Mseme tu kama hajakugawia mikono ya kutosha!!
 
Back
Top Bottom