Baraka Obama lazima alitafutiwa huyu Mwanamke!

Unataka akuvutie wewe?

Wewe unavutia kila mtu?

Unajua kuna watu wanacheka sana wanapokuona mko na huyo aliyekuvutia?

Beauty is in the beholder's eyes!. Acha maisha ya watu na tabia chafu ya ushambenga wa kishwahil kukaa mnasengenya watu koma hapa jf ni mahala pa great thinkers. Siyo watu wenye mawazo hafifu yasiyokuwa na maana kama haya!.

Hizo tabia kaa nazo huko unakoshindaga ukija hapa, ziache kando.

Kwa taarifa yako tu, that Mich Obama is one of the most stunning ladies!. Kama wewe humwoni ni sababu wewe ni tofauti na wanavyoona wengine. Na wewe hapo ulivyo kuna mtu anasema asingeweza kukutupa jicho hata kama ungebaki peke yako duniani.

Mchana mwema!

Weekend utakuwa wapi BTW?

indeed.....

ila sishangai siku hizi wenda wazimu wapo wengi sana.
 
akiri zingine bwana hebu tuonyeshe mkeo kama umeoa au demu wako tuone yeye ni mzuri na mvuto wa kiasi gan..mke wa Obama mzuri kinoma ile mbaya
 
Wivu mbaya jaman!
Sasa ulitaka upumuliwe wewe na president wa dunia!!!
Weka picha yako mtoa post ili tukuone kama unafaa kuwa hata mke wa mwenyekiti wenu wa kijiji......
 
Yaani watu wa lumumba mnaanza kujadili hata wake za watu???????????????????? Kisa ni kufanya watu wasijadili mambo ya maana????????? Mnaanzisha nyuzi hazina kichwa wala miguu???????????????????????
Kweli tumekosa mwelekeo!
 
Aisee huyo mwanamke ni mzuri kuliko unavyofikiria haujajua sema ni mtu wa zoezi sn km mumewe
 
Wa kwako ulie mchagua mwenyewe mzur tupia picha yake tumuone alivyo mzur
 
Gari engine bhana bodi rangi tu. Kitu mnaa....chezeya. Muulize mkapa na wapigwe tu
 
Huku sasa ni kumkosea adabu huyu mama na watoto wake, ambao hupita jukwaa hili.

Jaim kuna neno la kukosa adabu hapoo? au kuweka picha za first lady ambazo zimejaa mitandaoni ni kosa? acheni ukoloni na kujikomba!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom