Kuna tatizo gani kuweno? Acha umbea wako huo
Maskini zittoWakuu wakati Zitto akitua Mkoani Kigoma Muda huu Mbunge wa Viti Maalum CUE,Na ambye Ni Naibu katibu Mkuu wa CUF-Bara Mh.Magdalena Sakaya Ni Mmojawapo ya Wanamsafara waliopo na Zitto.
alishajifia huyo
Wakuu wakati Zitto akitua Mkoani Kigoma Muda huu Mbunge wa Viti Maalum CUF,Na ambye Ni Naibu katibu Mkuu wa CUF-Bara Mh.Magdalena Sakaya Ni Mmojawapo ya Wanamsafara waliopo na Zitto.
Huwezi jua, labda jamaa anakula mzigo!!!!!!!!!