Hivi umefatilia maelezo ya LATRA na umeweza kuyaelewa hayo maelezo yao.
Je hiyo kampuni ya KILIMANJARO kuna sehemu wanasema kuwa wanavyo tuhumiwa navyo ni propaganda za kibiashara?.
Vipi wewe na kampuni ni nani haswa mwenye uchungu wa kufungiwa kwa kampuni?
Mwisho kwa maelezo ya LATRA wa...
hakuna kisicho pauka ndugu,ila muda wa kupauka ndo unachotakiwa kuangalia hapo
Kuhusu bati bora ni bat ambazo zina gauge 28 na kuendelea kwa kwenda 26 -24-18-16 mpka mwisho
Pia ithibati ya material ambazo wanatumia hivyo viwanda katik uzalishaj wao wa mabati,
Hap ndo tatizo linapokuja...
Ewe kijana umejaribu kuelezea jambo kwa hoja ila embu rudi kwanza nyuma hili jambo lilipo anza na mpaka lilipofika umewasikia BAKWATA wakitoa neno lao au kuchangia
JE,umemsikia mufti Zuber au Balaza la ulamaa likitia neno
Unasema wew ni muislam sikatai,unaweza ukawa n kwel muslim ila wajina n...
Unataka BAKWATA watoe tamko,kwan ANGLICAN wao wametoa tayar,WASABATO JE? na Dini nyenginezo ambazo zipo tz zimetoa matamko.
MUFTI YUPO KIMYAA NA WALA HATOTOA TAMKO
TEC WAO WAENDELEE KUUSOMA HUO WALAKA MAKANISANI MWAO NA WALA HAWAFANYI UDINI NA PIA HAO MASHEKH NAO WALA HAWAFANYI UDINI
ILA...
We jamaa kuna mahali nimeona unasema sisi wakristo ndo tumesoma kuliko hao wavaa kobazi ,
ila kila nikicheki naona walio weng kati ya walio pitisha huo tunao usema uuzwaji wa bandari weng ndo wapo huo upande wa wasomi wa hii nchi .
Je,wasomi wetu hawajitambui au kuna sehemu kunatatizo ambalo...
ANDO hao jamaa bidhaa zao n nzur kabisa, naongea kitu ambacho nakijua na nishawah kufanya nao kaz kam mwajiriwa wao
Hutojuta kutumia bidhaa zao trust me
Kam upo Dar au dom naweza taj eneo ambalo lina bat yao kisha ukaulize wew zina muda gan hap juu
Tatizo watu weng wana shindwa kujua kuwa GSM NA TFF/BODI YA LIGI waliingia mkataba, na huo mkataba una vipengele ambavyo walikubaliana kuvi telekeza na vipo ambavyo vina weza kuvunja mkataba bila hata ya kutokea pande moja kusema.
1.GSM wao wametangaza kujiondoa kweny mkataba baina yao kwa...
16.175m × 18.4m=297.62 m ²
297.62m² ~298m²
298 * 1.5 (king post) =447m
447m ÷ UPANA wa bati ambay ndo coverage yak,
Hap weng hutumia zenye upana wa 90cm ambayo inakuja kuwa 84cm
84cm una change Kuja kwa mita itasomeka 0.84m
447m ÷ 0.84m =532.14
Total runmeter =532.14( +/-)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.