Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,238
- 1,655
Sina tatizo na hili.Ninakazia nilikuita kujadili hoja yangu iliyokuwa uzi kamili kupitia hiyo comment aliyoitwa FF.
Hili halina utata ila kwanini wengine, pamoja na kuwa ni ndugu wa wote, wanawadharau na kuwakebehi?Mbona masheikh na waislam hawa ni ndugu wa wote?
Ukizungumza inapaswa ionekane hivyo kivitendo. Nami nikapendekeza huyu aelimishwe. Sijaliona hilo.Haipo vita ya kibaguzi kwenye mkataba wa Bandari. Hapa pana suala la kisheria siyo kidini.
Tusiondolewe kwenye reli kirahisi namna hii.