pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,787
- 13,855
Kabla basi au Kampuni haijafungiwa kuna hatua mbalimbali zinafanyika kabla ya kufikia hatua hii mfano;
Kuonywa kwa maandishi
Makosa kujirudia mara kwa mara licha ya kuonywa
Pia kuna masharti ya leseni kama yalivyoainishwa ktk leseni.
Zipo kanuni mbalimbali ambazo zipo zikionyesha adhabu zinazotakiwa kuchukuliwa.
Ni vyema mleta hoja (kilimanjaro) ukazingatia matakwa ya leseni yako badala ya kupayuka mtandaoni!
Kuonywa kwa maandishi
Makosa kujirudia mara kwa mara licha ya kuonywa
Pia kuna masharti ya leseni kama yalivyoainishwa ktk leseni.
Zipo kanuni mbalimbali ambazo zipo zikionyesha adhabu zinazotakiwa kuchukuliwa.
Ni vyema mleta hoja (kilimanjaro) ukazingatia matakwa ya leseni yako badala ya kupayuka mtandaoni!