Kilimo cha umwagiliaji na changamoto zake
Wote tunajua kwa sasa tunakabiliwa na upungufu mvua na kutotabirika kwa mvua! tumekua tunategemea kilimo cha mvua, na kwa hali ilivyo tukiendelea...
habari za wakati huu wadau,naomba kujuzwa/kueleweshwa zaid kuhusiana na kilimo cha migomba mwenye kufahamu plz nini changamoto zake,aina ya migomba,maradh nk asanten
Habari wa JF. Mimi ni binti ambaye nataka niingie shambani kuanza kilimo. Msaada wenu nauhitaji kujua gharama nzima ya kulima kilimo cha umwagiliaji. Kuanzia ukodishaji shamba hadi vifaa vya...
Habari wadau, poleni kwa majukum.
Lengo la Uzi huu ni kupata maoni yenu.
Nina shamba la ekari 3 lipo eneo la mitonga -mbanja Lindi. Ardhi yake ni ya mchanga, mazao yanayostawi ni pamoja na...
KAMA WEWE NI MUHITAJI WA KISIMA WAHI OFA ZETU ZA PASAKA AMBAZO BADO NDANI YAKE ZINATOA MAJADILIANO YA BEI.
VISIMA HIVI NI VYA KARAVATI,TUNAVIANDAA MPAKA KATIKA HALI UNAYOONA PICHANI HAPO,WEWE...
Strawberry (fukasidi) hustawi katika maeneo yenye joto la wastani, na hukua kwa haraka zaidi na uzalishaji kuongezeka linapolimwa kisasa zaidi, Hasa katika Green house. Zao hili hukua vizuri...
Bila shaka yoyote ile kilimo ndiyo sekta inayoweza kuajiri watu wengi zaidi hata kukiko viwanda kama serikali ingetilia mkazo somo la kilimo mashuleni hasa katika secondary
Nimepita katika shule...
Bandugu,
Ni miti gani ya mbao inastawi ukanda wa joto pwani ya bahari ya Hindi, Kuanzia Mkuranga, Rufiji, Kilwa, Lindi mpaka Mtwara.
N.B miti isihitaji zaidi ya miaka 10 mpaka kuvunwa kwake.
Shukran!
Sababu 14 kwanini biashara yako inahitaji kuwa na nembo na vingine vya kutafutia masoko.
Leo nitatoa sababu chahche kwanini biashara yako inahitaji hivyo vyote ili ifanikiwe kibiashara...
Mashirika haya mawili yaliundwa kwa mujibu wa sheria mnamo tarehe 01/07/1982 kwa nia ya kuongeza ufanisi kwa kuwahamisha wafanyakazi wa kitengo cha utafiti wa iliyokuwa Wizara ya Kilimo na Mifugo...
Kampuni ya cccltd inawatangazia watanzania wote wenye kutaka kumiliki Makazi yao na kuachana na adha za upangaji , tumewaletea mpango rahisi sana , NUNUA KIWANJA KWETU CASH, Tutakukopesha tofali...
Tanzania ni nchi ambayo 80% ya wananchi wake wanategemea kilimo.
Katika bajeti ya wizara ya kilimo,mifugo na uvuvi,bajeti ya maendeleo mwaka 2016/2017 ilitengewa Tsh.101,527,497,000/= yaani...
Kwanza Kabisa Ningependa Kumshukuru Mungu Kwa Kutuweka Salama Hadi Leo Hii.
Hapa ninapoishi kuna Vyama Vya msingi vya ushirika ambavyo vinahusika ununuzi au ukusanyaji wa mazao mfano Korosho...
Naombeni msaada wana jf mm ni kijana npo sumbawanga nataman sana kujikwamua kimaisha so nilitaka nilime tikiti naomben ufafanuzi juu ya kilimo hiki ikiwa ni pamoja na changamoto za kilimo hiki...
Mh waziri wa kilimo na ushirika nchini nichukue fursa hii kukupongeza kwa kazi nzur mnayoendelea kuifanya hasa kazi nzuri inayofanywa na Tume ya maendeleo ya ushirika nchini.
Baada ya...
Habari zenu ndugu zangu, naomba msaada kama mtu anaufahamu na wafadhili wa mambo ya kilimo, kama naweza kupata wafadhili nahitaji mtaji na hali yangu sio nzuri kiuchumi nataka kulima kilimo cha...
Kuchelewa kwa mvua msimu huu ulinipa changamoto ya kutafuta mashamba katika Irrigation schemes kwani huko huwa hakutegemi mvua, kulima ni mara mbili kwa mwaka na kuvuna ni uhakika. Katika hangaika...
Mambo vp wana jf wenzangu, nahitaji madawa na chanjo kwa ajili ya kuku wa kienyeji, pamoja na chakula cha vifaranga, tafadhali naomba msaada nitapata wapi. Mimi nipo Mwananyamala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.