Serikali itilie mkazo somola kilimo mashuleni

assenga Jr

JF-Expert Member
Aug 26, 2016
368
459
Bila shaka yoyote ile kilimo ndiyo sekta inayoweza kuajiri watu wengi zaidi hata kukiko viwanda kama serikali ingetilia mkazo somo la kilimo mashuleni hasa katika secondary
Nimepita katika shule nyingi za kata nimekuta hili somo halipo kabisa nilipo jaribu kuulizia kwa nini somo la kilimo alifundishwi sababu kubwa ni kua walimu wa kufundisha ilo somo hawapo
Sasa najiuliza wataalamu wa kilimo wanapatikana vip kama somo la kilimo alifundishwi mashuleni hasa secondary za kata ambazo ndiyo zilizobeba idadi kubwa ya wanafunzi ambao ndio tunaowategemea waje kusaidia taifa katika nyanja mbalimbali?
Somo la kilimo lingekuwa msaada sana hasa kwa wanafunzi wanao hitimu kidato cha nne na kushindwa kuendelea mbele ingewasaidia kujiajiri na hii ni kutokana na ukweli kwamba somo la kilimo lingeweza kufundishwa kwa vitendo zaidi kuliko nadharia
 
Bila shaka yoyote ile kilimo ndiyo sekta inayoweza kuajiri watu wengi zaidi hata kukiko viwanda kama serikali ingetilia mkazo somo la kilimo mashuleni hasa katika secondary
Nimepita katika shule nyingi za kata nimekuta hili somo halipo kabisa nilipo jaribu kuulizia kwa nini somo la kilimo alifundishwi sababu kubwa ni kua walimu wa kufundisha ilo somo hawapo
Sasa najiuliza wataalamu wa kilimo wanapatikana vip kama somo la kilimo alifundishwi mashuleni hasa secondary za kata ambazo ndiyo zilizobeba idadi kubwa ya wanafunzi ambao ndio tunaowategemea waje kusaidia taifa katika nyanja mbalimbali?
Somo la kilimo lingekuwa msaada sana hasa kwa wanafunzi wanao hitimu kidato cha nne na kushindwa kuendelea mbele ingewasaidia kujiajiri na hii ni kutokana na ukweli kwamba somo la kilimo lingeweza kufundishwa kwa vitendo zaidi kuliko nadharia
Mawazo mazuri ...lakini kumbuka shule hizi zilikuwepo...MF minaki sec school..mashamba ya shule yalikuwepo...na pia mifugo ilikuwepo...wanfnz walikula Matunda ya yale walokuwa wanalima na kufuga...TUANZIE HAPO....HIZI SHULE ZINA NINI NOW?
 
Mawazo mazuri ...lakini kumbuka shule hizi zilikuwepo...MF minaki sec school..mashamba ya shule yalikuwepo...na pia mifugo ilikuwepo...wanfnz walikula Matunda ya yale walokuwa wanalima na kufuga...TUANZIE HAPO....HIZI SHULE ZINA NINI NOW?
Ndiyo hizi shule zilikuepo lakin kadiri siku zinavyoenda shule nyingi zinaacha kufundisha hili somo kutokana na serikali kutolipa kipaumbele kama kusambaza vitabu vya kufundishia mashuleni
Vile vile baadhi ya maeneo ya shule yaliyokuwa yanatumika kwa ajili ya kilimo serikali imeyabadilisha matumizi
 
Back
Top Bottom