Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habarini wapendwa wa kilimo. Kwanza kabisa niwapongeze wote tuliojaribu kuweka mazao mashamba msimu huu wa masika maana naamini tutapata. Kuna Drip System za ekari mbili ila kila moja ya ekari...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Redirect
Kutokana na wadau wengi kutaka kujua hasa gharama za uzalishaji wa mkonge na muda gani unaaza kupata faida ikanilazimu niwaandalie hii bajeti ambayo tunaitumia kwa mkoa wa Tanga ila inaweza...
3 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wakuu nimekuwa nikipata tetesi kuhusu huu mradi na faida zake! Najua kuna watu humu ni wazoefu naomba tushirikishane kwasababu mwezi wa saba nataka niingie shambani! Asanteni
0 Reactions
Replies
Views
Salaam wana JF Naomba kurudia kwa mara ya pili kwa wale ambao wako serious kibiashara. Kwa yeyote anayeuza Green House, ziwe zilizotumika lakini ziko hali nzuri au hata kama ni mpya, tafadhali...
0 Reactions
2 Replies
920 Views
  • Redirect
Wakuu natamani kulima tangawizi ila sina maelezo yoyote kuhusu hili zao tafadhali ka kuna mwenye uzoefu nalo tujumuike hapa kwny huu uzi. Kuanzia upandaji wake, hali ya hewa, gharama zake mpaka...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
wakuu habari zenu poleni kwa majukumu mimi nmeanzisha mradi wa kuku na mradi wangu nimezamilia kufuga kuku aina ya kuchi jogoo nishapata ila sasa hivi natafuta matetea ya kawaida ya kienyeji SIFA...
0 Reactions
Replies
Views
Habari wadau wa ujasiliamali. Mimi nina eneo hapa dsm ( Bunju ) lilikuwa shamba, sasa mzee kalipa katika30*30, shida yangu natafuta mtu ambaye atakayeingia mkataba kati yetu na sisi ajenge nyumba...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii ni picha ya Parents (majogoo) kuchi na Giliraja nitafute +255785738738 kuna customer wanahitaji picha, zinakuja na kama wataka kuona karibu kwa farm. Mbezi Manyema off Salasala way.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu habari za leo,bila shaka wazima na mnaendelea namihangaiko yenu ya kila leo. Naomba msaada wa kujua ni zao gani nilime kipindi hiki huko ili na mimi nijitose mzima mzima kwa mara ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Redirect
Mojawapo ya Changamoto kubwa kwa wafugaji wa nguruwe imekuwa ukosefu wa mbegu bora na yenye tija hapa nchini. Mbegu nzuri zilizoletwa na wakoloni miaka ile zimepoteza ubora wake kwa sababu ya...
4 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kilimo cha mahindi
7 Reactions
Replies
Views
Habari wandugu zangu naomba kujua namna ya kuanza ufugaji wa kuju wa mayai........aina gani ya kuku ni bora zaidi? ........kwa kuku 500 ninahitaji banda la ukubwa gani? Chakula kiasi gani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeona huu utafiti hapa je una ukweli wowote .Wataalamu wa mifugo tusaidieni SOURCE:The Uganda journal
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wanajamvi? Leo nimepata maswali mengi baada ya kuona kanda ya ziwa mazao yanakauka kwa ukame mkubwa ulioikumba nchi. Hivi Kuna maana gani kujenga viwanda kwa kilimo cha kutegemea mvua...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Redirect
Jamani wana JF ni kweli kuna aina ya sungura ambayo ina soko sana au ni sungura wa aina yoyote naweza kufuga na nikauza Kama kawaida? Nataka kuanza kufuga sungura nisije nikachukua mbegu ambayo...
3 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habari wakuu, nimejikusanya toka mwaka juzi sasa nina mpango wa kufanya biashara ambayo haitaathiri masomo yangu. Karibuni
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wakuu habari za jioni, Naomba kama mzoefu wa kilimo hiki anisaidie, nataka kuwa na quotation za gharama za kulima tikiti maji kwa ekari moja katika mazingira yafuatayo. Maji ni ya kisima cha...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Heshima kwenu wadau. Wadau ninataka kuanzisha kilimo cha Maembe, nilienda Amagro nikaongea nao juu ya ununuzi wa miche na kilimo chenyewe kwa ujumla, lakini bahati mbaya hawana wakala Njombe wa...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habari wandugu, ashukuliwe Mungu kuwa tuwazima na anatupigania kwenye changamoto za maisha. Kwa hali ya kiuchumi ilivyo kwa sasa inatubidi kutafuta miradi tofauti tofauti ili...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
habari wakuu, kama topik isemavyo hapo juu....siku za karibuni kumeibuka watu mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii wakinadi aina mbali mbali za kuku wa kienyeji/chotara kwa biashara ya mayai...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom