Jana Leo na Kesho, mstari mrefu wa mafanikio kwa mtanzania /muafrika mweusi.
“I write nikiwa inspired” niliandika kwenye makala yangu ya kwanza.
Kuna swali ime ni inspire, imenisikitisha...
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection.
Ni ule uwezo wa mtu kutengana na mwili wake kwa fikra katika imani Husemwa Kiroho.
Pale ambapo roho yako inakuwa imetengana na mwili wako wa nyama.
Utokaji...
Nilitazama kipindi cha TOP GEAR naona mwisho wanadai kuipata the 'true source ya mto Nile' kuwa iko Tanzania
kuna anaejua more kuhusu hili?
Top Gear (series 19) - Wikipedia, the free encyclopedia
Karibia kila baada ya miaka minne mwezi wa februari hupata siku ya nyongeza, yaani siku ya 29 ambayo huweza kuitwa ''leap day''. Kama sehemu ya gregorian claendar.
Hii ndio sababu...
Gregorian...
Habari wana JF.
Naomba kuanza kwa kuzungumza machache sana ili tuelewane kutokana na mada hii.
Kumekuwa na mada mbalimbali zinazozungumzia maswala ya uzalendo, usalama wa taifa,maafisa usalama wa...
Hakuna kifaa kinachoweza kupima unyama wa Binadamu isipokuwa tuu kwa kuwalinganisha matendo yao wenyewe kwa wenyewe.
NOTE: Nitayaelezea machache tuu kuhusu haya makundi ya Uhalifu ingawa kuna...
Fluoride katika maji kwa ajili ya kudhibiti akili
Unaweza kuwa na ufahamu wa fluoridation. Ni mchakato ambao serikali/viwanda vya maji uongeza fluoride kwenye maji kwa ajili ya...
Ili uweze kujua kusudi lako na hatimaye kufikia hatma yako ni muhimu sana kujua muundo wako wewe kama binadamu.
Binadamu anaundwa na vitu vitatu ambavyo ni;ROHO,NAFSI NA MWILI. ROHO,hii ndiyo...
Kwa mujibu wa mwongozo wa kiroho wa madhehebu ya kipagani daima huamini kuwa mfumo wa jua ni taswira ya mfano wa babu kizee mwenye ndevu nyeupe "The grand Man"
Na katika fikra zao walijiumbia...
Hauwezi niambia there is a limit katika universe and beyond. Kuna limit pale endapo fikra yako itaomba poo au pale resources zako hazitakufikisha zaidi na zaidi (limited resources).
Labda...
Habari,Afrika !!!
Kwanza Nianze kwa Kusema,Yupo Njiwa mpya, katika Nyumba mpya, aliyetolewa mbawa zake Ili apajue kwa mtunzaji wake,aliyebakiziwa mbili kulia na kushoto,Ategemeaye kupaa kila...
Hivi ushawahi kuwaza kuwa kama kupata mafanikio kwa mganga inawezekana kwa wote basi hakuna asingekuwa na tabu.
Mimi nafikiri wale wanaopata mafanikio kutokana na msaada wa mganga sio kwamba eti...
Labda bado hatuajelewa thus kupelekea kuchanganya dhana ya kuwa in control inamaanisha kuwa na control ya maisha yetu au kuwa in control kwa yalio ndani ya mipaka yetu.
Wengi tunasemaga maisha...
Baada ya tukio la mwaka 1947 UFO kuanguka huko Roswell, Serekali ya US ilifanya kila namna kupotezea hii story hadi hapo mwaka 2008 fighter jets za Marekani zilipo shuhudia chombo chenye speed na...
"Na yule ibilisi, mwenye kuwadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele" (Ufunuo wa Yohana...
Scenario
Naomba ni declare interest "Mimi ni mkristo Tena Mlutheri".
Hivi lipokuja swala la kuwaaminisha hawa wasio amini Mungu yupo "Kwanini sisi Tunaoamini Mungu yupo TUSIWE NA SAUTI MOJA?"...
Katika kuyatafta mafanikio na kufikia ndoto , kuna vitu vingi unaweza kujifunza .Ningependa ujue aina ya watu na jinsi watu hufanikiwa hii itakupa moyo, ujasiri na nguvu ya kuendelea kupambania...
Habari zenu wakuu??
Hapo nyuma nilikutana na Changa Moto nyingi
ambazo ninaimani zilikuwa ni changa Moto rahisi Sana kwa mtu ambaye alikuwa akiziskia na kuziona zilipo kuwa zikini kumba but was...
Mitandao ambayo tunaitumia kujingizia kipato kwa Vijana wengi siyo ya hapa nchini ni ya wenzetu huko majuu, sasa ikitokea shida ni lazima kuwe na remote solution ambayo ni ngumu kusaidiwa haraka...
Wakuu hivi huyu jini maiti kazi yake nini hasa?
Maana ninavyojua maiti hawezi kufanya kitu chochote sasa mtu akipandisha jini maiti inakuaje kuaje sasa?
Je jini maiti anatokea upande upi?
Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.