Naamini kuna watu wameweza ku-unlock secret codes za maisha na wanaishi kawaida na sisi kama watu wa kawaida

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,309
4,017
Hauwezi niambia there is a limit katika universe and beyond. Kuna limit pale endapo fikra yako itaomba poo au pale resources zako hazitakufikisha zaidi na zaidi (limited resources).

Labda waliweza kudedicate muda wao wote katika kutathmini uwepo wao na kwenda beyond uwezo wao wa kawaida thus wakaweza kuwa extra-ordinary.

Labda walikuwa chosen na the "higherpower" na wakaweza kuwa granted na power, energy na uwezo ambavyo havipo ndani yetu sisi wengine mabilioni ya watu duniani.

Kama tunaamini kuna laana, kama tunaamini kuna uchawi, kama tunaamini kuna roho mtakatifu, kama tuna kunatokeaga "an act super humanism" (mfano unaweza kimbizwa na mbwa kichaa mkali na ukashangaa unaruka ukuta mrefu ambao ukija kurudia kuruka haufanikiwi kabisa).

Kama tunaamini Jacob aliweza kushindana na mwanaume ambae sio wa kawaida (mwenye uwezo ulio wa kimbingu) licha ya kumvunja Jacob uvungu wa paja bado mwanaume yule alimpa heshima yake kuwa ameweza kupigana na Mungu kitu ambacho wengine duniani hawawezi.

Sasa unakaa unajiuliza inakuwaje mtu mwenye divine powers anashindwa na mtu wa kawaida duniani.

Je, Jacob aliweza ku-unlock prowess ambayo sio ya kawaida hadi kupigana mieleka na a divine power?

Au Jacob alikuwa chosen na "the higherpower" tokea akiwa tumboni ndio maana hata ikawa rahisi hadi kumuibia pacha mwenzake Esau zile baraka na ukuu wa mtoto wa kwanza kuzaliwa.

Inafikirisha sana ndugu zangu, kwamba 1% ya watu duniani ina control 99% percent ya sisi wengine.

Inafikirisha ndugu zangu kuwa kuna wakujiita manabii wana powers za kufanyia watu miujiza.

Inafikirisha sana ndugu zangu pale watu walio wakajituma sana na waaminifu ila bado wamebaki katika nafasi hio hio huku wakinung'unika.

DUNIA NI FUMBO KWA SISI WENGINE ILA KWA WENGINE DUNIA JAWABU.
 
Hauwezi niambia there is a limit katika universe and beyond. Kuna limit pale endapo fikra yako itaomba poo au pale resources zako hazitakufikisha zaidi na zaidi (limited resources).

Labda waliweza kudedicate muda wao wote katika kutathmini uwepo wao na kwenda beyond uwezo wao wa kawaida thus wakaweza kuwa extra-ordinary.

Labda walikuwa chosen na the "higherpower" na wakaweza kuwa granted na power, energy na uwezo ambavyo havipo ndani yetu sisi wengine mabilioni ya watu duniani.

Kama tunaamini kuna laana, kama tunaamini kuna uchawi, kama tunaamini kuna roho mtakatifu, kama tuna kunatokeaga "an act super humanism" (mfano unaweza kimbizwa na mbwa kichaa mkali na ukashangaa unaruka ukuta mrefu ambao ukija kurudia kuruka haufanikiwi kabisa).

Kama tunaamini Jacob aliweza kushindana na mwanaume ambae sio wa kawaida (mwenye uwezo ulio wa kimbingu) licha ya kumvunja Jacob uvungu wa paja bado mwanaume yule alimpa heshima yake kuwa ameweza kupigana na Mungu kitu ambacho wengine duniani hawawezi.

Sasa unakaa unajiuliza inakuwaje mtu mwenye divine powers anashindwa na mtu wa kawaida duniani.

Je, Jacob aliweza ku-unlock prowess ambayo sio ya kawaida hadi kupigana mieleka na a divine power?

Au Jacob alikuwa chosen na "the higherpower" tokea akiwa tumboni ndio maana hata ikawa rahisi hadi kumuibia pacha mwenzake Esau zile baraka na ukuu wa mtoto wa kwanza kuzaliwa.

Inafikirisha sana ndugu zangu, kwamba 1% ya watu duniani ina control 99% percent ya sisi wengine.

Inafikirisha ndugu zangu kuwa kuna wakujiita manabii wana powers za kufanyia watu miujiza.

Inafikirisha sana ndugu zangu pale watu walio wakajituma sana na waaminifu ila bado wamebaki katika nafasi hio hio huku wakinung'unika.

DUNIA NI FUMBO KWA SISI WENGINE ILA KWA WENGINE DUNIA JAWABU.

Hivi ni akina nani hao ambao wanakua considered kuwa wame Break secret code?

Nyerere, Platinumz, Samatta, Ramadhani Brothers, Bharesa, Mo au Kusaga nk nk?

Ni Dangote, Mo Salah, Davido au Noah nk nk?

Je ni Trump, Bill Gate, Steve Job, Jay Z au Messi nk nk

Je ni Alexendra the Great, Newton, Einstein nk nk

Na akina nani hao ambao ni HIGHER-POWER

Nature ina sheria zake
Most people intend to ignore NATURE na kuanza kukumbatia IMANI kutafuta majibu

Binadamu hajui kila kitu lakini angalau sayansi imetusaidia kujibu maswali mengi yaliosingiziwa IMANI

Tunahitaji kuijua zidi The Law Of Nature
Kwanini kuna usiku na mchana, kuna majira kwa mwaka, kuna viumbe wakike wengi kuliko wakiume, kwanini social animal wanauongozi, kwanini wengine ni masikini wengine matajiri,
Kwanini sehemu fulani wanaugua sana ugonjwa fulani
Kwanini wapare ni wafupi nk nk

Badala yake tumejikita sana kwenye IMANI zitokanazo na vitabu ambavyo havijulikani muandishi ni nani wala vya mwaka gani wala ukweli wake na havina uthibitisho wowote zaidi ya hekaya za elfu ulela
Tuna amini katika nadharia hewa na kujijengea “fear of unknown”

Majibu ya hoja zako kiasi kikubwa yanajibika kisayansi
 
Hivi ni akina nani hao ambao wanakua considered kuwa wame Break secret code?

Nyerere, Platinumz, Samatta, Ramadhani Brothers, Bharesa, Mo au Kusaga nk nk?

Ni Dangote, Mo Salah, Davido au Noah nk nk?

Je ni Trump, Bill Gate, Steve Job, Jay Z au Messi nk nk

Je ni Alexendra the Great, Newton, Einstein nk nk

Na akina nani hao ambao ni HIGHER-POWER

Nature ina sheria zake
Most people intend to ignore NATURE na kuanza kukumbatia IMANI kutafuta majibu

Binadamu hajui kila kitu lakini angalau sayansi imetusaidia kujibu maswali mengi yaliosingiziwa IMANI

Tunahitaji kuijua zidi The Law Of Nature
Kwanini kuna usiku na mchana, kuna majira kwa mwaka, kuna viumbe wakike wengi kuliko wakiume, kwanini social animal wanauongozi, kwanini wengine ni masikini wengine matajiri,
Kwanini sehemu fulani wanaugua sana ugonjwa fulani
Kwanini wapare ni wafupi nk nk

Badala yake tumejikita sana kwenye IMANI zitokanazo na vitabu ambavyo havijulikani muandishi ni nani wala vya mwaka gani wala ukweli wake na havina uthibitisho wowote zaidi ya hekaya za elfu ulela
Tuna amini katika nadharia hewa na kujijengea “fear of unknown”

Majibu ya hoja zako kiasi kikubwa yanajibika kisayansi
Waambie waache uchuro hao
Wabongo ndio maana kuna kipindi ilikuwa kila mwenye hela ni freemsons
Kilasiku hawaishi kutafuta visingizio vya umaskini wao kwa kujiliwaza na hizi hekaya za kusadikika
 
Back
Top Bottom