Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Katika kuyatafta mafanikio na kufikia ndoto , kuna vitu vingi unaweza kujifunza .Ningependa ujue aina ya watu na jinsi watu hufanikiwa hii itakupa moyo, ujasiri na nguvu ya kuendelea kupambania...
4 Reactions
2 Replies
608 Views
Habari zenu wakuu?? Hapo nyuma nilikutana na Changa Moto nyingi ambazo ninaimani zilikuwa ni changa Moto rahisi Sana kwa mtu ambaye alikuwa akiziskia na kuziona zilipo kuwa zikini kumba but was...
12 Reactions
49 Replies
3K Views
Mitandao ambayo tunaitumia kujingizia kipato kwa Vijana wengi siyo ya hapa nchini ni ya wenzetu huko majuu, sasa ikitokea shida ni lazima kuwe na remote solution ambayo ni ngumu kusaidiwa haraka...
1 Reactions
2 Replies
353 Views
Wakuu hivi huyu jini maiti kazi yake nini hasa? Maana ninavyojua maiti hawezi kufanya kitu chochote sasa mtu akipandisha jini maiti inakuaje kuaje sasa? Je jini maiti anatokea upande upi? Je...
3 Reactions
57 Replies
22K Views
Control powers ndizo zilizotujengea misingi na mipaka ya utafiti na matamanio yetu. Dini, Mamlaka kuu za kutawala na Secret Societies ndizo hizi control powers. Hivyo ni vyombo vitatu...
2 Reactions
9 Replies
524 Views
Aliyekuwa Kiongozi wa Jumuiya ya Freemason Tanzania na Afrika Mashariki, Sir Jayantilal Keshavji ‘Andy’ Chande, amefariki dunia. Sir Chande amekuwa mwanachama wa Freemason kwa takribani miongo...
10 Reactions
28 Replies
10K Views
Yesu na Maria Magdalena Watu wengi wanajua hadithi ya Yesu wa Nazareti kutoka kwa Biblia ya Kikristo. Alizaliwa huko Bethlehemu, mwana wa Mariamu, ambaye alikuwa bikira na ambaye alimchukua Yesu...
10 Reactions
49 Replies
4K Views
Huu ni mfano wa sanduku la agano ambalo wana wa Israel waliambiwa watengeneze na Mussa wakiwa nyikani wakitoka Egypt (Misri) wakielekea promised land (Nchi ya ahadi). Sanduku hilo lilikuwa ni kama...
14 Reactions
148 Replies
29K Views
SOMO: FAHAMU NGUVU ZAKO ZA KUZALIWA KWA UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU Kumb 33:1-9, Mwanzo 49:3-7, 1Kor 2:10 Kila mwanadamu aliyeumbwa na Mungu Aliye Hai, ameumbwa na nguvu maalumu kutoka mbinguni...
19 Reactions
96 Replies
34K Views
Soma hii kwanza kabla sijaendelea ili upate msingi wa kile nitakachoandika Mawasiliano ya kiroho katika milango nane ya fahamu - JamiiForums Nitatoa mifano michache lakini kwanza pata picha ya...
9 Reactions
110 Replies
11K Views
SEHEMU YA II Pia soma sehemu ya I Shroud of Turin (sanda aliyovikwa Bwana Yesu inayoonyesha sura yake) ni kweli ilikuwa ya Yesu Kristo? HUENDA LEORNARDO DA VINCI ALIUHADAA( danganya) ULIMWENGU...
8 Reactions
44 Replies
4K Views
MAMBA ni mnyama anayekula nyama, huweza kuishi nchi kavu lakini maisha yake kwa kiasi kikubwa hupendelea kukaa majini, tofauti na fikra za watu wengi ambao hufikiri mamba anazaa ukweli ni kwamba...
29 Reactions
59 Replies
27K Views
Afrika ni Bara la pili kwa ukubwa duniani pamoja na kuwa na wakazi wengi huku likiwa linakaliwa na Waarabu, pamoja na Weusi (Blacks/Negro) wakitenganishwa na Jangwa la Sahara. Waafrika Weusi...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Si lengo wala dhamira yangu kupinga wala kupindisha Imani ya mtu yeyote, bali ni wajibu wangu kama binadamu mwenye akili na upeo wa kudadisi, kuchanganua na kuyaelewa mambo mbalimbali katika namna...
34 Reactions
105 Replies
22K Views
Wale wazee wa "tafuta pesa wewe" Kama sijakosea tumegawanyika katika makundi haya: ■masikini wa kutupwa ■masikini wa kawaida ■mwenye nafuu katika maisha ■mwenye nafuu zaidi ■mwenye nafuu maradufu...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Mmeshindaje wanaJF wenzangu? Tukiangalia kona nyingi ama nchi nyingi za Afrika zipo ndani ya vita vya ndani ambapo wahanga wakuu ni wananchi ambao kila anayepigana anataka kuwwtawala. Riek...
1 Reactions
2 Replies
354 Views
Prolonged exposure to the same work environment can breed stagnation and limit professional growth. Working with the same colleagues for extended periods can lead to ingrained stereotypes and...
2 Reactions
11 Replies
664 Views
kuna vitu vingi vya kushangaza mno, ambavyo kutokana na kutwezwa na mahangaiko ya dunia tunakosa muda wa kuvitafakari 1. Dunia ya Mungu ilikuwa mashariki ya kati? Hapa ndio kama Mungu alipatambua...
89 Reactions
341 Replies
63K Views
Kwanza nianze kwa kuelezea ndoto maana yake, Ndoto ni mkusanyiko wa matukio ambayo binadamu huyaweka kichwani kwake ambayo humjia bila zuio (involuntary) kwenye ubongo wakati akiwa...
26 Reactions
248 Replies
52K Views
Ooh! Sawa kabisa. Usipoelewa sasa, utaelewa baadaye. Basi bhana, Mfalme Nebukadneza katika fahari yake, akawa anatembea kwenye kuta za mji wa Babeli huku akijisifu namna alivyoiboresha Babeli...
1 Reactions
11 Replies
743 Views
Back
Top Bottom