Zuzu mmoja alienda kumtembelea rafiki yake ilipofika ucku mvua kubwa ikaanza kunyesha.
Mwenyeji: Duuh! Mvua ni kubwa sana,kama vip lala hapo sebuleni utaondoka asubuhi
Jamaa:Sawa.Baaada ya mvua yule mwenyeji alipotoka sebuleni kunywa maji,akamkuta jamaa kalowa
maji mwili mzima.
Mwenyeji: He!! Vip mbona umelowa kiasi hicho?
Jamaa: Nilienda nyumbani kuchukua shuka...!!!!
Mwenyeji: Duuh! Mvua ni kubwa sana,kama vip lala hapo sebuleni utaondoka asubuhi
Jamaa:Sawa.Baaada ya mvua yule mwenyeji alipotoka sebuleni kunywa maji,akamkuta jamaa kalowa
maji mwili mzima.
Mwenyeji: He!! Vip mbona umelowa kiasi hicho?
Jamaa: Nilienda nyumbani kuchukua shuka...!!!!