zuzu na picha ya dokta

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Zuzu mmoja alikuwa anaumwa sana,akaamua kueka
picha ya daktari kwa ukuta wa chumba chake. Ghafla akatembelewa na marafiki zake,walipoona
picha ukutani wakamuuliza,"Hio picha ukutani ni ya
nani?" Zuzu akajibu,"Si ni ya dokta." Wakamuuliza,"Mbona umeiweka hapo?" Akajibu,"Nilienda phamacy kununua
dawa,wakanishauri maumivu yakizidi nimuone
dakatari!"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…