Dotto C. Rangimoto
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,985
- 1,286
Akichangi muda leo bungeni alitoa rai kwa wale wanaotaka ubunge kwanza waende JKT ili wapate nidhamu, hii ni kutokana matusi yaliyotamkwa jana na wabunge.
Akichangi muda leo bungeni alitoa rai kwa wale wanaotaka ubunge kwanza waende JKT ili wapate nidhamu, hii ni kutokana matusi yaliyotamkwa jana na wabunge.
Naungana naye lakini labda nisistize kwamba wapitie course hiyo kwa mwaka mmoja siyo miezi mitatu kwanza wanaondoka bila kuzalisha chochote wanakula wasichopanda.
Mbona huko JKT kwenyewe ndiyo chuo kikuu cha matusi. Tulipokuwa JKT (operation jikomboe mwaka 1973) lilikuwa linaitwa JESHI LA KULA TUAkichangi muda leo bungeni alitoa rai kwa wale wanaotaka ubunge kwanza waende JKT ili wapate nidhamu, hii ni kutokana matusi yaliyotamkwa jana na wabunge.
inaniwia ngumu kukubaliana na hoja ya huyu mheshimiwa japo kwa juu inaonekana nzuri:
1. Wabunge kama mwigulu ndiyo hao wamepitia jkt lakini wamerudi bungeni na kuanza matusi.
Inaniwia ngumu kukubaliana na hoja ya huyu mheshimiwa japo kwa juu inaonekana nzuri:
1. Wabunge kama Mwigulu ndiyo hao wamepitia jkt lakini wamerudi Bungeni na kuanza matusi.
2. Tuangalie kwanza hao walioenda JKT wame badilishwaje na JKT.
3. Bungeni tatizo si uzalendo wala si nidhamu bali ni Bunge linalo endeshwa kwa upendeleo wa wazi wazi kabisa.[/QUOTE
JK ALIKUWA KANALI WA JESHI, MKUCHIKA, CHILIGATI ,LOWASSA, SUMAYE, WAMEPITIA JESHI. HATA MIMI NIMEPITIA JESHI MWAKA MZIMA PALE MAFINGA OPERATION VYAMA VINGI. NIDHAMU NA UZALENDO WANGU SI KWA SABABU YA JESHI.
UZALENDO UNAJENGWA NA UMOJA, UTU, MSHIKAMANO NA UPENDO VINAVYOLETWA NA HAKI NA KUHESHIMIANA.
, SUMAYE