MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Hoja zisizo na maana,
Nani alikwambia makampuni ya simu huwa yanawekeza kwenye majengo?
Labda kama alikuwa na madai mengine ya kodi na gharama sawa.
BRAIN WASHED kind of person; Unaongea kutokea wapi; je ni upande wa watanzania au upande wa wawekezaji?. kama wewe ni mzalendo unaongea hivyo basi hii nchi tuna hasara.
Is it eleventh Commandment that these mobile phone operators should not erect their own buildings? . Kwa nini waishi kupanga panga kama wana lengo zuri na wewe huoni huo ni ushauri mzuri ?
wewe ni wale wale wakimbizi katika nchi yao na unatakiwa ujivue gamba la ukoloni mambo leo la sivyo you're a blind folded by these campanies na wewe hakika ni traitor of your own people.