Zuchu atoa onyo Simu za usiku kwa mumewe

Zuchu atoa onyo Simu za usiku kwa mumewe

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Zuchu, ametoa onyo kali kuhusu kile kinachodaiwa kuwa ni simu za usiku wa manane zinazopigwa kwa mumewe Diamond Platnumz.

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Zuchu ameandika, "I just don’t understand why someone would call a married man usiku wa manane like very late in the night. Don’t you know he has a wife????" ("Sielewi kwa nini mtu anampigia mwanaume aliyeoa usiku wa manane yani usiku sana. Hujui kwamba ana mke??")

Zuchu ameendelea na kusema kuwa kama unajijua jina lako linaanziwa na herufi "A", acha kumpigia mume wake.

1753938768001.png


1753938777597.png
 
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Zuchu, ametoa onyo kali kuhusu kile kinachodaiwa kuwa ni simu za usiku wa manane zinazopigwa kwa mumewe Diamond Platnumz.

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Zuchu ameandika, "I just don’t understand why someone would call a married man usiku wa manane like very late in the night. Don’t you know he has a wife????" ("Sielewi kwa nini mtu anampigia mwanaume aliyeoa usiku wa manane yani usiku sana. Hujui kwamba ana mke??")

Zuchu ameendelea na kusema kuwa kama unajijua jina lako linaanziwa na herufi "A", acha kumpigia mume wake.

zuchu si alishapewa talaka?
 
Awe anapokes yeye na mumewe anasemaje KUHUSU hizo simu
Wanaopiga simu wamepewa namba na mumewe
 
Upuuzi kabisa...😏
Hili ni tatizo la watu kuto kuzungumzia matatizo yao ndani. Then kwa kuandika mambo yao mitandaoni waelewa tunaamini hayo mahusiano ama ndoa haipo sawa na ndio maana hawazungumzi ili kumaliza migogoro yao.
Lakini pia ukikuta mwanamke ama mwanaume anaandika mambo yao binafsi kwenye mitandao, basi ujue kuna kitu hakipo sawa ama mmoja ameoa/olewa na mwenza ambae sio sahihi.
 
😁😁😁 yaani mimi niache kulala muda huo, nianze kukesha na simu ya mtoto wa mama mkwe nikicheki nani atapiga 🤣🤣🤣
 
😁😁😁 yaani mimi niache kulala muda huo, nianze kukesha na simu ya mtoto wa mama mkwe nikicheki nani atapiga 🤣🤣🤣
Kuna watu hii ya mwili mmoja wanaifanyia komoa 🤣🤣 she's too attached to him. Hata muwe mnapendana vipi always kumbuka you have a life to live. Sasa kenyewe kamekariri mpaka herufi za mwanzo za wanoompigia huyo "mumewe" usiku wa manane.
 
Kuna watu hii ya mwili mmoja wanaifanyia komoa 🤣🤣 she's too attached to him. Hata muwe mnapendana vipi always kumbuka you have a life to live. Sasa kenyewe kamekariri mpaka herufi za mwanzo za wanoompigia huyo "mumewe" usiku wa manane.
Kazi anayo kwa kweli 🤣🤣🤣 anajitesa bure
 
Back
Top Bottom