Sawa mkuu nimeelewa ila shida nyingne ni over heating na mara nying ni baada ya kuingia mtandaoni na huwa ina nialet kuwa iko over heating nitoe betri hii ni kero wengne wanasema ninunue battery nyingne itakuwa cool hii ipoje?? Maana nna ile cooler toka playstore ila ni hamna kitu bado shida
Nilinunua tigoshop na pia ktk specification mtandaoni ZTE KISS 3 MAX inaonesha kuwa internal ni 4 hum naiona 2, ambayo ni kama 1.27 hv sielew
umejaribu kulitoa hilo cover? maana hata specs zake haziwez kuifanya iheat hivyoSimu ni Zte kiss iii Max android joto huwa ni kali sana inachemka had nahis yataka explode nimenunua miez mitatu iliyopita 195000 na ina kava ambalo ni power bank
Update hiyo simu, watakuwa tayari wame rekebisha hilo tatizo. Mi mwenyewe natumia zte nubia z9 ilikuwa na insue kama hiyo baada ya ku update tatizo limeondoka.
My phone get hot like this help pls
Mkuu Chief-Mkwawa, naomba ufafanue hapo uliposhauri kwamba " ukibadiri rom unaweza kuirudisha ".
Nina tatizo sawa la mkuu G spanner kwangu ni ktk simu ya nokia X2 haina hiyo feature ya ku restart.
Please saidia hapo.