Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Tovuti ya www.zoomtanzania.com ambayo imekua inatoa matangazo ya kazi imekua ina ficha anuani(email) za kazi husika ili muombaji aombe! Badala yake wameweka utaratibu amboa haueleweki eti utume kwenye kijedwali chao wa zoomtanzania halafu wao ndio wanawatumia sehemu husika walio tangaza kazi!
My take:
Binafsi ina niboa sana na ninashindwa kuelewa kwanini wafiche email za sehemu ilipotangazwa kazi badala yake wao wamebuni utaratibu wa muombaji aombe kwenda zoomtanzania na zoomtanzania ndio waitume kule! Huu ni ukiritimba na ina boa sana! Hata kama mko kwa ajiri ya Commission lakini utaratibu wenu una boa sana!
My take:
Binafsi ina niboa sana na ninashindwa kuelewa kwanini wafiche email za sehemu ilipotangazwa kazi badala yake wao wamebuni utaratibu wa muombaji aombe kwenda zoomtanzania na zoomtanzania ndio waitume kule! Huu ni ukiritimba na ina boa sana! Hata kama mko kwa ajiri ya Commission lakini utaratibu wenu una boa sana!