Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,235
Nisipoteze muda kuandika sana au kuunda logic, swallow it or spit it.
Mitandao ya ajira hapa Tanzania, hasa Zoom Tanzania na Brighter Monday inalaghai watu/watafuta ajira kwa post za ajira mpya kila siku. Kumbe wanavitengo/watu maalumu wa kugenerate au kutengeneza post feki za nafasi za kazi.
Binafsi ni muhanga kwa miaka 4 mfululizo hadi nimekuja kuujua huu ukweli mchungu. coz ilibidi hadi nizitembelee hizo ofisi live na kuunda urafiki na wafanyakazi. Wanajinasibu kama Recruitment Agencies na kwamba wana nafasi ya ushawishi kwa Employers...ni uhuni na utapeli mtupu, na Email applications zozote wanazoziforwad kwa Employers zinaishia kwenye Junk au Spam boxes.
Wanajiingizia kipato kwa 'on-click ads', viewers per page na hot linking, yaani kadiri uanvyoenda kucheki post mpya za nafasi za kazi, ndio unawaingizia hela na sahau kuhusu ajira, utasubmit kila siku.
Mnaotafuta ajira kupitia mitandao hii chukueni tahadhari, bora bundle lenu mpoteze JF au LinkedIn.
OVA
Mitandao ya ajira hapa Tanzania, hasa Zoom Tanzania na Brighter Monday inalaghai watu/watafuta ajira kwa post za ajira mpya kila siku. Kumbe wanavitengo/watu maalumu wa kugenerate au kutengeneza post feki za nafasi za kazi.
Binafsi ni muhanga kwa miaka 4 mfululizo hadi nimekuja kuujua huu ukweli mchungu. coz ilibidi hadi nizitembelee hizo ofisi live na kuunda urafiki na wafanyakazi. Wanajinasibu kama Recruitment Agencies na kwamba wana nafasi ya ushawishi kwa Employers...ni uhuni na utapeli mtupu, na Email applications zozote wanazoziforwad kwa Employers zinaishia kwenye Junk au Spam boxes.
Wanajiingizia kipato kwa 'on-click ads', viewers per page na hot linking, yaani kadiri uanvyoenda kucheki post mpya za nafasi za kazi, ndio unawaingizia hela na sahau kuhusu ajira, utasubmit kila siku.
Mnaotafuta ajira kupitia mitandao hii chukueni tahadhari, bora bundle lenu mpoteze JF au LinkedIn.
OVA