feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,803
- 12,668
Habari za jioni wakuu
Nipo Safarini kwenda Songea nimepanda kampuni ya Newforce,,tumekwama hapa Madaba ni umbali wa saa 2 kufika Songea tairi zinataka kuwaka hii ni mara ya pili sasa na kumekuwa na kesi nyingi kama hizi mwishowe gari huwaka je,hizi gari zina shida gani wakuu?
Nipo Safarini kwenda Songea nimepanda kampuni ya Newforce,,tumekwama hapa Madaba ni umbali wa saa 2 kufika Songea tairi zinataka kuwaka hii ni mara ya pili sasa na kumekuwa na kesi nyingi kama hizi mwishowe gari huwaka je,hizi gari zina shida gani wakuu?