Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,412
Pia kula sana bamia,maharagwe soya,Uji wa pilipili na pranut butter
Ky ama??Vp nawesa kutumiya mafuta kwasababu huwa napenda sana kuyatumiya wakati nafanya tendo hilo jb
Nilisoma boys miaka sita lakini punyeto sikuwahi kufanya, zaidi nilikuwa na kademu kangu tangu tuko F2 hadi 6 na advance tulipangwa shule za jirani nilifaidikiukwelil elimu huaribu uhalisia fulani kipindi nipo o level NGO's zilikuwa zikikazana kuwafundisha watu madhara ya ngono zembe. zilitufundisha kuwa punyeto ni ngono salama haya sasa tizama kinachowakuta watu sasa hivi .badala yake wamehamasisha watu kutumbukia kwenye baa la upungufu wa nguvu za kiume pasina wao kujitambua. Sifahamu wa sasa wanafanya kitu gani ili kuwaepusha vijana na UKIMWI na janga hili la ukosefu wa nguvu za kiume.
Write your reply...Sasa tatizo lako chanzo chake ni kujichua ulivyojichua kilitokea kifuatacho
Mkono wako ni mgumu sana tofaut na uke kutokana na ugumu huo wa mkono ulileta madhara yafuatayo
......
....
3.kuua misuli ya kupitisha hormone kutoka kwenye korodan na uume hormone ni kichocheo testosterone kinachofanya kaz ya kukupa hali ya kua na hamu ya kusimamisha na kufanya mapenzi na kurudia bao nying punyeto hata kama umefanya mara moja inakupa shida ya kurudia na hamu
.....