Zoezi la uokoaji wa VIP la makomandoo

Zoezi la uokoaji wa VIP la makomandoo

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,289
Reaction score
2,472
Nimeangalia lile zoezi na kwa upeo wangu nikaona kama la kawaida. Au ndio yale ukiwa nje ya uwanja.

Kubwa nililoona pale ni kuwa wakati helkopta iko pale juu ikishusha waokoaji, sikuona wengine wakiwa na silaha mle ndani kwa lengo la kuangaza nacho pande zote na kwa mbali kujiepusha na adui.

Kwa mfano adui angekuwa mbali kama mita mia hamsini hivi na akaamua kurusha kombora ingekuwaje?
 
Kwa upande wangu sikuona chochote kipya bora Senga na Kingwendu wakiigiza wanaweza kumchanganya mtazamaji akadhani ni tukio halisi kuliko wale askari, walionekana kama wapo kwenye mafunzo
 
Kutafuta kuonekana wanajuwa kumbe hamna kitu,vitu vingine iwe siri yao makambini huko ,binafsi nawakubali sana TISS wapo kipekee sana sijui na ubora wa viwango vya elimu na upeo wa watu wao una wabeba ,hao makomando huwa ni division zero wa form four.
 
Duh! Ila naamini nafasi yao ni kubwa sana kwenye suala zima la intelijensia. Pale wametuzuga tu
Kutafuta kuonekana wanajuwa kumbe hamna kitu,vitu vingine iwe siri yao makambini huko ,binafsi nawakubali sana TISS wapo kipekee sana sijui na ubora wa viwango vya elimu na upeo wa watu wao una wabeba ,hao makomando huwa ni division zero wa form four.
 
Ubezaji wa si tabia njema. Hili ni jeshi letu, tulipende. Ulinzi wa mipaka yetu unawategemea wao kwa asilimia kubwa. Tuwape moyo waendelee kuwa na morale. Vile vile, tusilinganishe movies ambazo zimekuwa edited na mambo ya live. Mapigano ni profession, sio kila mtu anaweza kuchambua
 
Me nlikuwa naona aibu kwa watu wa nje waliokuwa wanatizama nkatamani nizime huko tcra, angalau wale walokaribishwa kusalmia kuna mmoja alimkazia JPM miaka yake ni 10 tu, mwingne akasema anaipongeza serikali ya awamu ya 3, nlifurahi kidogo kwingne nliona chenga tu.
 
Ubezaji wa si tabia njema. Hili ni jeshi letu, tulipende. Ulinzi wa mipaka yetu unawategemea wao kwa asilimia kubwa. Tuwape moyo waendelee kuwa na morale. Vile vile, tusilinganishe movies ambazo zimekuwa edited na mambo ya live. Mapigano ni profession, sio kila mtu anaweza kuchambua
Morale gani tuwape wakati wanaongezewa mishahara daily na kujengewa kota kila sehemu. Wakatika morale wakaimbe mapambio yao ya matusi
 
Me nlikuwa naona aibu kwa watu wa nje waliokuwa wanatizama nkatamani nizime huko tcra, angalau wale walokaribishwa kusalmia kuna mmoja alimkazia JPM miaka yake ni 10 tu, mwingne akasema anaipongeza serikali ya awamu ya 3, nlifurahi kidogo kwingne nliona chenga tu.
hili la Sumaye lilimkera hata JPM awamu ya 3 tena
 
Back
Top Bottom