Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,321
Nchi imebakiza muda mfupi kuingia kwenye zoezi ghari kuliko yote hapa nchini, kuna mambo yanajitokeza hasa upande wa malipo.
RAIS,MAKAMU WA RAIS,WAZIRI MKUU kwanini wasitoe tamko kuhusu namna malalamiko yanavyokuwa ili zoezi liwe zuri. Haya malalamiko kweli hayasikiki,mbona zoezi la kuwalipa makarani wa sensa lina mizengwe?
RAIS,MAKAMU WA RAIS,WAZIRI MKUU kwanini wasitoe tamko kuhusu namna malalamiko yanavyokuwa ili zoezi liwe zuri. Haya malalamiko kweli hayasikiki,mbona zoezi la kuwalipa makarani wa sensa lina mizengwe?