Zoezi la kufungia Simu ni kama lishafeli kabla halijaanza

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,711
12,067
Leo nilikua naangalia ITV asubuhi, cha kushangaza yule mmama wa TCRA alikuwa anasema ikiwa simu yako itafungiwa kwa bahati mbaya, basi nenda kwa subscriber wa mtandao wako, nao watakufungulia.

Nilijiuliza sana hili swala, hivi kweli subscriber ndio awe na mamlaka ya kufungia au kufunga simu feki, apa tutapona kweli?
Hawa subscriber si ndio wanauza simu pia?

Kwanini TCRA wasiwe na mtambo wao?
 
Leo nilikua naangalia ITV asubuhi, cha kushangaza yule mmama wa TCRA alikuwa anasema ikiwa simu yako itafungiwa kwa bahati mbaya, basi nenda kwa subscriber wa mtandao wako, nao watakufungulia.

Nilijiuliza sana hili swala, hivi kweli subscriber ndio awe na mamlaka ya kufungia au kufunga simu feki, apa tutapona kweli?
Hawa subscriber si ndio wanauza simu pia?

Kwanini TCRA wasiwe na mtambo wao?
Ni kweli Mkuu,na mi nachukulia kama ni ubabaishaji tu,maana utekelezaji wake utakuwa ziro
 
Mara ya kwanza niliangalia wakaniambia haifungwi nimeangalia tena mara ya pili wananiambia inafungwa naogopa kuangalia tena mara ya tatu sijui wataniambiaje??? Aina ya simu ni LG
Hata mm mara ya kwanza wakatoa jibu sahihi la simu yangu na specification zake...mara ya pili nikapewa jibu tofauti na la kwanza....mara tatu jibu likawa tofauti na la pili na kwanza...na mm ni LG
 
Kuna Sehem Nilisoma Kuwa Eti Watafunga Kwa Kuangalia Imei Ya Simu Yako Lakini Simu Za Android Zilizokuwa Rooted Unaweza Kubadilisha Make Ya Simu,model,,,na Wait For It,,,,,IMEI Ndio Unaweza Kubadili IMEI Ya Simu Yako Ya Android Najua Cz Katka Kuchokora Kwangu Htc One M8 Yangu Fake Nilibadili
 
Back
Top Bottom