Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,300
- 2,716
Jamani Kawe hats stendi ya basis hakunabinabidi bomoa bomoa ipite bila aibu
Nyumba ya ghorofa ya Pepe kalle mbona ipo kwenye kitalu ambacho kina plot number that means kimepimwa,iweje waibomoe au alimsupport mzee wa monduli?
Hii 'haki' isikie kwa mwenzio. Usiombe yakukute.
Ndio kimepimwa ila sio chake, ni eneo la wazi
Okay nimekupata Ila serikali iangalie namna ya kuhandle Hizo issue sasa Hiyo open space wataweka garden baada ya kubomoa ghorofa? si Bora wangemuuzia tu hata kwa 200m then Hiyo fedha ikaboreshe hata vyoo kwa baadhi ya shule za serikali.
Okay nimekupata Ila serikali iangalie namna ya kuhandle Hizo issue sasa Hiyo open space wataweka garden baada ya kubomoa ghorofa? si Bora wangemuuzia tu hata kwa 200m then Hiyo fedha ikaboreshe hata vyoo kwa baadhi ya shule za serikali.
Manispaa ya Singida wafanyabiashara wameongeza baraza hadi barabarani. mkurugenzi lini utanyoosha barabara?
Sasa mtu umejenga kwenye eneo la wazi au penye hifadhi ya barabara halafu unaenda mahakamani .