Zlatan Ibrahimovic is overrated

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,715
45,114
Ana uwezo wa kawaida mno na hana tofauti na Olivier Giroud sema tu kwasasa anazungumzwa sana kwa kuwa yupo timu ya wapayukaji duniani, jiulizeni kwanini alichemsha vibaya akiwa Barcelona? Akaenda kung'aa kwenye ligi ya Ufaransa ambayo ni sawa na ligi ya timu moja au ligi ya mchangani. kwa kifupi zlatan anapewa sifa zisizostahili.
 
Ana uwezo wa kawaida mno na hana tofauti na Olivier Giroud sema tu kwasasa anazungumzwa sana kwa kuwa yupo timu ya wapayukaji duniani, jiulizeni kwanini alichemsha vibaya akiwa Barcelona? Akaenda kung'aa kwenye ligi ya Ufaransa ambayo ni sawa na ligi ya timu moja au ligi ya mchangani. kwa kifupi zlatan anapewa sifa zisizostahili.
Umeamua tu kuwa mkorofi.....unatafuta lawama za bure
 
Angalia statistics Mr hater sio unabwabwaja tuu eti unamfananisha na Giroud kwan hata idadi ya magol huoni acha kufananisha mimba na kitambi
Hujielewi huyu jamaa hana tofauti na makonda....Yeye anajua chandimu tu afu anakuja kumzungumzia Kadabra??!!
 
nani kakuambia zlatan alichemsha barcelona???kuhama timu sio kuchemsha!!!mbona alihama psg akaenda man utd unataka kusema alichemsha psg??
 
Ana uwezo wa kawaida mno na hana tofauti na Olivier Giroud sema tu kwasasa anazungumzwa sana kwa kuwa yupo timu ya wapayukaji duniani, jiulizeni kwanini alichemsha vibaya akiwa Barcelona? Akaenda kung'aa kwenye ligi ya Ufaransa ambayo ni sawa na ligi ya timu moja au ligi ya mchangani. kwa kifupi zlatan anapewa sifa zisizostahili.
Mkuu hata kama humpendi zlatan kwa kiwango gan ila kitendo cha kumfananisha uwezo wa zlatan na Giroud inadhihirisha either una chuki binafsi ama hufahamu historia ya zlatan mpaka hatua aliyopo sasa. Sometimes hata kama uko timu pinzan haimaanishi usiwakubali wachezaji wenye uwezo wa timu zingine. Kwa mf, mm ni shabiki wa man utd ila natambua na kukubali uwezo wa juu wa wachezaji wa timu zingine kama Ronaldo, Messi, Neymar, Suarez, Sanchez, coutinho, hazard, grezman na wengine kibao. Kwa hiyo acha chuki binafsi kwa mchezaj ama timu fulan
 
mimi ni mshabiki pure wa ARSENAL..lakini bila kinyongo nakiri..ZLATAN IBRAMOVIC ni mnyama mwingine..wala ARSENAL haina mtu wa kumfananisha nae...huyu jamaa namfuatilia miaka mingi sana..nimelisikia jina lake tokea miaka.hio mpaka leo ni mkali..BARCELONA alishindwa kwa sababu makocha wengi wa BARCELONA ni MUNGU mtu..wanapenda kunyenyekewa wakati zlatani hajui kumnyenyekea mtu..yeye anaamini anajua..umpange usimpange ni juuu yako...sio kama wale wanaompigia kocha.magoti wakitaka.kupangwa
 
Hahahhaahhaha dah nilijua kumbe had I were shabiki was arsenal dishi limeyumba hahaha poleh wacha kufananisha ibra na takataka chafu shame on yoy
 
Ana uwezo wa kawaida mno na hana tofauti na Olivier Giroud sema tu kwasasa anazungumzwa sana kwa kuwa yupo timu ya wapayukaji duniani, jiulizeni kwanini alichemsha vibaya akiwa Barcelona? Akaenda kung'aa kwenye ligi ya Ufaransa ambayo ni sawa na ligi ya timu moja au ligi ya mchangani. kwa kifupi zlatan anapewa sifa zisizostahili.
Ina maana uwezo wake huuoni?
 
e46203511c5e9926a6e76339d0ae1a25.jpg
use unasomaga sasa facts
 
Ana uwezo wa kawaida mno na hana tofauti na Olivier Giroud sema tu kwasasa anazungumzwa sana kwa kuwa yupo timu ya wapayukaji duniani, jiulizeni kwanini alichemsha vibaya akiwa Barcelona? Akaenda kung'aa kwenye ligi ya Ufaransa ambayo ni sawa na ligi ya timu moja au ligi ya mchangani. kwa kifupi zlatan anapewa sifa zisizostahili.
Mm cyo fan wake au klabu anayocheza lakini namuelewa sana cadabra

Profile yake inaongea

Team appearance goals

Malmo ff. 37 16
Jiventus. 74 23
Inter milan. 70 57
Ajax 40 35
Ac Milan(loan) 29 14
Ac Milan 28 29
PSG 113 112
Man utd 24 15

Afu hapo hakuna timu yenye level ya stock city ujue.Panapo stahili pongezi itabidi utoe tu km kwel we ni professional
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom