StaffordKibona
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 669
- 57
RON alikuwa ametoka sayari nyingine jamani. Mnakumbuka ile Free kick aliyo wafunga England kombe la dunia Korea kusini
Sema sema Baba...
Nikisema mimi ntaambiwa ni muumini wa Mtakatifu Gaucho ndio maana namfagilia.
Dinho siku hiyo aliwapiga Madrid goli mbili sawa kwa kimtazamo lakini ni tofauti kwa mtiririko.
Alikuwa anatokea kushoto kisha anaisasambua ngome ya Madrid na kisha anafunga.
Forza Dinho
Sempre' Dinho
Nimelipenda jina lako
<br />Ronaldinho na Zizou wote ni wakali kwa namna yake. Kama ni mapishi Zizou ni mtaalam wa kupika ugali na Dinho ni mtaalam wa kupika wali.
<br />Nyie nadhani mmemsahau ZiZou.<br />
Hakuna kama Zizou akifuatiwa na Okocha JJ then ndio Dinho.
Wakali wa soka na takwimu, kati ya hawa wawili nani alikuwa zaidi?
<br /><a href="http://www.youtube.com/watch?v=KEF0WGaAcZQ" target="_blank">&#x202a;ronaldinho VS. zidane&#x202c;&rlm; - YouTube</a>
<br />
<br />
Nimeiangalia kwa utulivu mkubwa sana.
Hakika kama skills za Zidane ndio zile basi mi naona wa kumlinganisha nae ni Gilles Grimandi na sio wa hadhi ya Gaucho.
Kuna kipande humo Gaucho anawapiga kanzu jamaa watatu. Nakumbuka hiyo mechi ilikuwa mwezi wa Ramadhani kama huu, baada ya hapo jamaa wakaanza kufunga coz viwalo walikuwa wameshavipata toka kwa mtakatifu.
Hizo kanzu zikabatizwa jina le' grand barreti
Zidane was the best of his generation, mchezaji bora hapimwi kwa mbwembwe zake uwanjani bali kwa mchango wake.German coach Franz Beckenbauer stated: "Zidane is one of the greatest players in history, a truly magnificent player." Pelé, a World Cup winner three times with Brazil, hailed Zidane after seeing Brazil losing to France: "Zidane was the magician in the game." Italy's manager Marcello Lippi, who has also coached Zidane, opined "I think Zidane is the greatest talent we've known in football these last 20 years, yet he never played the prima donna. I am honoured to have been his manager."[52] Among his peers, David Beckham has described Zidane as "the greatest of all time",[53][54] FC Barcelona star Xavi has stated in a 2010 interview that Zidane was "the '90s and early 2000's best player"[55] while Brazilian defender Roberto Carlos has said of Zidane that, "he is the best player I've seen", in a 2010 interview with French newspaper L'equipe.[56] Cesare Maldini, the Italian coach and father of Paulo Maldini once stated, "I would give up five of my squad to have Zidane in my team".
<br />Zidane was the best of his generation, mchezaji bora hapimwi kwa mbwembwe zake uwanjani bali kwa mchango wake.