TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,690
- 10,116
Wakali wa soka na takwimu, kati ya hawa wawili nani alikuwa zaidi?
kwangu mimi kama kawaida...
Mtakatifu nampa namba moja.
Kaka Dhino is the best footballer ever in this planet, namkumbuka siku ile Barca walipo kipiga na Real Madrid ya Ukweli Ukweli (Zizhou, Delima, Spice boy, Figo, Raul, n.k) ndani ya St.Barnebaeu, Barca waliipiga Real 3-0. Dhino alichukua mpira toka katikati ya uwanjaa na kufunga goli. I libidi mashabiki wa Real Madrid wasimame na kumpa heshima zake the saint.
Since then sjiawahi ona kitu kama ile, Dhino alikuwa akiongea na mpira na mpira ulikuwa unaongea nae.
Mwanangu hapa Dhino, katikati Deco, Mbele Etoo, pembeni Messi kazi ilikuwa inakua pevu, Dhino alikuwa anatoa pasi za kichogoni na lazima ilikuwa imkute mmoja wapo kati ya watu hao
ndio yupi?
Ronaldinho nakumbuka akiwa na Barcelona alifunga goli ambalo sijawahi kuliona maishani mwangu, alimpiga chenga refa, kipa, mabeki, wachezaji wa timu yake na sisi mashabiki. Alitingisha kiuno, tukiwa tunashangaa sebene lake, akauingiza mpira wavuni. Kipa hakujisumbua kuufuata mpira.
Dinho ni noma
Barcelona vs Chelsea UEFA champions, Stamford Bridge, nikumbushe mwakaRonaldinho nakumbuka akiwa na Barcelona alifunga goli ambalo sijawahi kuliona maishani mwangu, alimpiga chenga refa, kipa, mabeki, wachezaji wa timu yake na sisi mashabiki. Alitingisha kiuno, tukiwa tunashangaa sebene lake, akauingiza mpira wavuni. Kipa hakujisumbua kuufuata mpira.
Dinho ni noma