zimmerman
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,678
- 3,217
Ngoja niongeze ushauri tena. Zitto, unaweza kudhani chama kinahitaji mabadiliko ya viwango vya juu sana, nyie mnaita total overhaul ya chama. Lakini kwenye andiko lenu mmesisitiza kwamba viongozi wa juu wa Chadema mnaotaka wawapishe wanajivika ndoto za alinacha kudhani wakiingia serikalini watafanya total overhaul ya serikali.
Sasa hiyo si ni contradiction kwa upande wenu? Nyie mnaamini katika total overhaul ya chama, lakini hamuamini overhaul ya serikali. Hiyo ni ishara ya unafiki. Viongozi wako walipokuwa wakisoma hilo andiko, mara moja walinusa harufu ya unafiki, maana hata wewe ni mmjoa wao. Kama uongozi wote wa juu unahitaji total overhaul basi hata na wewe ulipsawa kuwa overhauled.
Somo: Usithubutu kuhamisha lawama kwa mtu mwingine iwapo mambo hayaendi sawa.
Sasa hiyo si ni contradiction kwa upande wenu? Nyie mnaamini katika total overhaul ya chama, lakini hamuamini overhaul ya serikali. Hiyo ni ishara ya unafiki. Viongozi wako walipokuwa wakisoma hilo andiko, mara moja walinusa harufu ya unafiki, maana hata wewe ni mmjoa wao. Kama uongozi wote wa juu unahitaji total overhaul basi hata na wewe ulipsawa kuwa overhauled.
Somo: Usithubutu kuhamisha lawama kwa mtu mwingine iwapo mambo hayaendi sawa.