Zitto Z. Kabwe,tafuta mshauri!

Zitto Z. Kabwe,tafuta mshauri!

Status
Not open for further replies.
Zitto Kabwe bado ni kijana, he is energetic, powerful and well educated, tatizo lake anapotezwa na washauri alionao.
Kutoka mwisho wa reli haisaidii katika dunia ya leo. Hata Dar wapo wajanja kama wale wa mwisho wa reli.

Zitto bado ana nafasi ya kujijenga kisiasa kama atakaa chini na kujipima, akaacha kutumika kwa maslahi binafsi
 
Yericko,

Zitto anaweza kuwa mbaya kwa sasa, lakini anaweza kuwa asset kubwa kwa chama pia baada ya haya. Msilenge katika kurudi nyuma, kuna nafasi kubwa sana ya kurekebisha haya na mkasonga mbele. Kama ndani ya mioyo yenu hamna nafasi ya kusameheana na kurekebishana basi hamfai kanisani, hamfai misikitini na hamfai Tanzania pia.

Mkuu hapa umepotoka kidogo, huyu jamaa ZZK hasameheki, ukimsamehe tu kwake ni ushindi yaani umeshindwa na atakuja na PLAN B na atakucheka hadharani, nikuachana naye kabisa tusonge mbele bila yeye, INAWEZEKANA KABISA CDM BILA ZZK!
 
Yericko,

Zitto anaweza kuwa mbaya kwa sasa, lakini anaweza kuwa asset kubwa kwa chama pia baada ya haya. Msilenge katika kurudi nyuma, kuna nafasi kubwa sana ya kurekebisha haya na mkasonga mbele. Kama ndani ya mioyo yenu hamna nafasi ya kusameheana na kurekebishana basi hamfai kanisani, hamfai misikitini na hamfai Tanzania pia.

Zitto ana umuhimu sana sasa , especially akijiunga CCM, maana atakuwa na vyombo vya dola kumsaidia JK kuisafisha nchi na mafisadi. Akiwa CHADEMA ni ngumu sana, maana mafisadi wanaweza hata kumlipua...si unakumbuka alivyo pata taabu kwenye sakata la Buzwagi? Mi nitafurahi sana Zitto akienda CCM kwa manufaa ya nchi yetu, lakini nitachukia sana kama CHADEMA watashindwa KUMFUKUZA uanachama. CDM tusaidieni kumfukuza Zitto ili tumchukue huku , aungane na Professor Muhongo katika kuendeleza sekta ya madini na nishati......
 
Naona huelewi msingi wa ukweli na uwazi. alichokifanya ZZK na Kitila ndio sahihi wananchi wajue yanayojiri ndani ya chama hicho wakielewe vizuri wakihukumu kwa haki na siyo unafiki. Mambo ya kubebana ,kufichiana siri na zidumu fikra sahihi za mwenyekiti (HATA KAMA SIYO SAHIHI )yako CCM ndio maana kimepoteza umaarufu kimebaki kinanunua wananchi kwa fedha. BIG UP ZZK NA KITILA KWA UKWELI NA UWAZI. Wamelianzisha sasa ni mbele kwa mbele. hatishwi mtu hapa

so u think by going to the media they were stewngthnin chadema??
 
Chadema nao ni goigoi.
Tuhuma za Zitto kushirikiana na kina Mwigulu Nchemba kuuihujumu Chadema zipo wazi kabisa.
Sasa wanampa siku 14 za nini ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom