Wazungu wanasema... "Charity begins at home".
Mheshimiwa Zitto Kabwe najua wewe ni maarufu sana nje ya Kigoma Kaskazini. Lakini huku hamna ulichofanya.
-Tunakufa na kipindupindu katika soko la kibirizi.
-Hakuna hospitali hata ya kumzalisha mama wa Kigoma Kaskazini.
-Ukiacha barabara ya Mwandiga-Manyovu barabara zingine hazipitiki jimbo zima.
-Hatuna soko la kuuzia mazao yetu.
-Si kwamba watu wa Kigoma hatuna akili, tunafeli kuwa mkiani kimkoa kila mara. Hali ya Elimu jimboni ni mahututi.
Hakuna High School hata moja.
Sisi bado ni mkoa uliokuwa nyuma kimaendeleo... Mwisho kwa maana ya mkiani.
Mara nyingi umekuwa ukijisifia kwa maendeleo ya majimbo mengine ya mkoa wa Kigoma, mathalan Barabara ya mwandiga-Manyovu ambayo hata hivyo ililenga kuifikia jimbo la manyovu ambalo liko CCM basi tu kwa vile Kigoma Kask ikaangukia njiani...........
Tuoneshe kitu ambacho ni tangible cha kujivunia kwa Kigoma Kaskazini.......
Utupu
UNATUACHAJE??
Sasa huko Kigoma mjini utapaweza?
Mheshimiwa Zitto Kabwe najua wewe ni maarufu sana nje ya Kigoma Kaskazini. Lakini huku hamna ulichofanya.
-Tunakufa na kipindupindu katika soko la kibirizi.
-Hakuna hospitali hata ya kumzalisha mama wa Kigoma Kaskazini.
-Ukiacha barabara ya Mwandiga-Manyovu barabara zingine hazipitiki jimbo zima.
-Hatuna soko la kuuzia mazao yetu.
-Si kwamba watu wa Kigoma hatuna akili, tunafeli kuwa mkiani kimkoa kila mara. Hali ya Elimu jimboni ni mahututi.
Hakuna High School hata moja.
Sisi bado ni mkoa uliokuwa nyuma kimaendeleo... Mwisho kwa maana ya mkiani.
Mara nyingi umekuwa ukijisifia kwa maendeleo ya majimbo mengine ya mkoa wa Kigoma, mathalan Barabara ya mwandiga-Manyovu ambayo hata hivyo ililenga kuifikia jimbo la manyovu ambalo liko CCM basi tu kwa vile Kigoma Kask ikaangukia njiani...........
Tuoneshe kitu ambacho ni tangible cha kujivunia kwa Kigoma Kaskazini.......
Utupu
UNATUACHAJE??
Sasa huko Kigoma mjini utapaweza?