Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,568
Ukimfukuza sana MJUSI atageuka NYOKA.huyu dogo baada ya kupigwa za Uso na Werema sasa na kujidai atajibu mapigo halafu baadae akauza nafasi kwa Wenje , WENYE AKILI TUKAJUA YAMETIMIA. Dogo vuta subira ama sivyo utapata kichaa.