mbikagani
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 3,107
- 1,782
Kwani wapi pameandikwa achague kila chama?Hicho anachosema hakisaidii, swali ni kuwa Tanzania kuna vyama vingi vya upinzani kwa nini Magufuli arudi mara mbili kuchukua wateule wake kwenye chama kimoja tu cha upinzani?Kwa hiyo hilo ni tawi la CCM.
Siyo mbaya umehoji kulingana na upeo wako.