Zitto tuambie mchango wa Kigoma

Zitto tuambie mchango wa Kigoma

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,041
Reaction score
134,315
Supreme Leader na image ya ACT akiwa Shinyanga alipandikiza chuki kali kati ya wana kanda ya ziwa na wana kaskazini hususani Arusha na K.njaro.Akahubiri kuwa mikoa ya kanda ya ziwa ina mchango mkubwa kwenye pato la taifa lakini hakuna maendeleo kwa sababu ya mgao hafifu tofauti na Kilimanjaro na Arusha ambao wana maendeleo lakini mchango wao ni mdogo kwenye pato la taifa.Sasa Zito Kabwe awaeleze wananchi Kigoma inachangia
kiasi gani pato la taifa na
akishamaliza atuambie kama
maendeleo ya Kigoma
aliyojitapa nayo ya barabara,
gati lake Tanganyika, umeme,
uwanja wa ndege, daraja la
Malagarasi na miradi mingine
mingi Kikwete aliyowapeleka
Kigoma kwa kuupea kipaumbele
ni halali mpaka kuyatungia
wimbo!
Na kwanini anataja Kilimanjaro
tu.c.c Nguruvi3 Geza Ulole
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hata hivyo ulivyovitaja kwa Kigoma viko wapi?.Mimi nimkazi wa Kigoma mjini lakini huyu Zitto atuambie kwanza hayo maendeleo aliyowapa wana Kigoma kaskazini niyapi mbona hatuyaoni?.Huyu dogo anatapatapa kukimbilia huku kwa kuwa anajua kule hawezi kupata kwa sababu ya uongo wake,aliahidi mengi tu mpaka kuwambia wananchi kwamba mradi wa umeme vijijini kawaletea yeye kumbe nimsaada Wa Marekani kwa nchi nzima
 
Mkuu hata hivyo ulivyovitaja kwa Kigoma viko wapi?.Mimi nimkazi wa Kigoma mjini lakini huyu Zitto atuambie kwanza hayo maendeleo aliyowapa wana Kigoma kaskazini niyapi mbona hatuyaoni?.Huyu dogo anatapatapa kukimbilia huku kwa kuwa anajua kule hawezi kupata kwa sababu ya uongo wake,aliahidi mengi tu mpaka kuwambia wananchi kwamba mradi wa umeme vijijini kawaletea yeye kumbe nimsaada Wa Marekani kwa nchi nzima

Huwezi kuona wakati we kipofu.
 
Kigoma haikuwa na barabara ya lami nguzo za umeme zimesambazwa jambo lote la kigoma kaskazini . kigoma haikuwa na stand ya magali yaendayo mikoani. Wewe ulitaka afanye nini zaidi ya hivyo
 
Kigoma haikuwa na barabara ya lami nguzo za umeme zimesambazwa jambo lote la kigoma kaskazini . kigoma haikuwa na stand ya magali yaendayo mikoani. Wewe ulitaka afanye nini zaidi ya hivyo

Marekani kuna kila kitu unachokitamani ila congressman tapeli kama Zitto anatoswa tu. Hana lolote huyu Ayatola.
 
Supreme Leader na image ya ACT akiwa Shinyanga alipandikiza chuki kali kati ya wana kanda ya ziwa na wana kaskazini hususani Arusha na K.njaro.Akahubiri kuwa mikoa ya kanda ya ziwa ina mchango mkubwa kwenye pato la taifa lakini hakuna maendeleo kwa sababu ya mgao hafifu tofauti na Kilimanjaro na Arusha ambao wana maendeleo lakini mchango wao ni mdogo kwenye pato la taifa.Sasa Zito Kabwe awaeleze wananchi Kigoma inachangiakiasi gani pato la taifa naakishamaliza atuambie kamamaendeleo ya Kigomaaliyojitapa nayo ya barabara,gati lake Tanganyika, umeme,uwanja wa ndege, daraja laMalagarasi na miradi minginemingi Kikwete aliyowapelekaKigoma kwa kuupea kipaumbeleni halali mpaka kuyatungiawimbo!Na kwanini anataja Kilimanjarotu.
kilimanjaeo ikitajwa unaumia ee! pole aisee
 
Mkuu hata hivyo ulivyovitaja kwa Kigoma viko wapi?.Mimi nimkazi wa Kigoma mjini lakini huyu Zitto atuambie kwanza hayo maendeleo aliyowapa wana Kigoma kaskazini niyapi mbona hatuyaoni?.Huyu dogo anatapatapa kukimbilia huku kwa kuwa anajua kule hawezi kupata kwa sababu ya uongo wake,aliahidi mengi tu mpaka kuwambia wananchi kwamba mradi wa umeme vijijini kawaletea yeye kumbe nimsaada Wa Marekani kwa nchi nzima

Kuna mwengine kule HAI yeye mda wote yuko Dar , na mikoa mingine anajenga CHAMA, amekumbuka shuka pamekucha, atusubiri october
 
Zitto nimemnukuu ktk gazeti LA mwananchi akisema ametatua shida zote za wanakigoma kaskazini.mi nashauri kama ametatua shida zote za wanakigoma kaskazini,basi tume ilifute jimbo ilo la uchaguz ili kuokoa pesa na gharama ya mshahara Wa mbunge atakaechaguliwa maana hata kuwa na Kazi ya kufanya.matatizo yote yameshatatuliwa na the supreme leader.
 
Kigoma haikuwa na barabara ya lami nguzo za umeme zimesambazwa jambo lote la kigoma kaskazini . kigoma haikuwa na stand ya magali yaendayo mikoani. Wewe ulitaka afanye nini zaidi ya hivyo

kwa hiyo haya yote ni Zitto?
 
Last edited by a moderator:
Zitto nimemnukuu ktk gazeti LA mwananchi akisema ametatua shida zote za wanakigoma kaskazini.mi nashauri kama ametatua shida zote za wanakigoma kaskazini,basi tume ilifute jimbo ilo la uchaguz ili kuokoa pesa na gharama ya mshahara Wa mbunge atakaechaguliwa maana hata kuwa na Kazi ya kufanya.matatizo yote yameshatatuliwa na the supreme leader.

yawezekana kayamaliza, maana Diva alisema hata muda wa kufua b.o.k.s.a.a.a.a hakuwa nao
 
Kigoma haikuwa na barabara ya lami nguzo za umeme zimesambazwa jambo lote la kigoma kaskazini . kigoma haikuwa na stand ya magali yaendayo mikoani. Wewe ulitaka afanye nini zaidi ya hivyo

Tatizo unatumia akiri zakuazima.Hivi hiyo Barabara ya Kigoma kaskazini nikimaanisha Manyovu unaelewa kama niya Jumuiya ya A.mashariki na imejengwa kwa sababu niya nchi 2?.Hivi kumbe haujui kwamba huo mradi wa umeme upo nchi nzima niwa msaada Wa USA kwa sababu ya mazingira?.Mtadanganywa nyie msiojua na ndio maana huyo dogo anawatumia kama ngazi mkuu,hata mimi nilikuwa mshabiki wake kabla hajawa msariti.Zitto ni muongo tena aliyebobea kwa watu kama wewe.Hiyo Stendi ya Mabus anaijenga jimbo la Kigoma mjini badala ya jimbo lake?.
 
Kuna mwengine kule HAI yeye mda wote yuko Dar , na mikoa mingine anajenga CHAMA, amekumbuka shuka pamekucha, atusubiri october

Wewe huna jipya mburula ndo ninyi waha wa kirundi na kikongomani mnajifanya wajuaji kimbe hamna lolote.HAI tuachie mwenyewe wewe endelea na msaliti wenu ZZKM
 
kumbe uozo unaanzia kwetu wanachiii....tusubit tuone nani ni nani ila zito mbinafsi wa hali ya anga.
 
Supreme Leader na image ya ACT akiwa Shinyanga alipandikiza chuki kali kati ya wana kanda ya ziwa na wana kaskazini hususani Arusha na K.njaro.Akahubiri kuwa mikoa ya kanda ya ziwa ina mchango mkubwa kwenye pato la taifa lakini hakuna maendeleo kwa sababu ya mgao hafifu tofauti na Kilimanjaro na Arusha ambao wana maendeleo lakini mchango wao ni mdogo kwenye pato la taifa.Sasa Zito Kabwe awaeleze wananchi Kigoma inachangia
kiasi gani pato la taifa na
akishamaliza atuambie kama
maendeleo ya Kigoma
aliyojitapa nayo ya barabara,
gati lake Tanganyika, umeme,
uwanja wa ndege, daraja la
Malagarasi na miradi mingine
mingi Kikwete aliyowapeleka
Kigoma kwa kuupea kipaumbele
ni halali mpaka kuyatungia
wimbo!
Na kwanini anataja Kilimanjaro
tu.

Mkuu ulitegemea huyo msaliti awasifie viongozi waliogundua usaliti wake na kuuanika ktk jamii?
 
Back
Top Bottom