Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,405
Mtu mmoja ila nguvu yake ni sawa na zaidi ya nguvu za Watanzania wote uchanganye kwa pamoja!
Mtu mmoja ila nguvu yake ni sawa na zaidi ya nguvu za Watanzania wote uchanganye kwa pamoja! View attachment 1345623
Mzalendo wa Taifa letu ni yule anaenyang'anya watu haki ya kuishi, kugandamiza uhuru wa habari, kuteka na kuua watu, kugandamiza democrasia pale white house!Mkuu huyo sio mzalendo wa taifa letu...
Mzalendo wa Taifa letu ni yule anaenyanganya watu haki ya kuishi, kugandamiza uhuru wa habari, kuteka na kuua watu, kugandamiza democrasia pale white house!
Sasa unaungana vipi na mtu anaenyang'anya watu haki ya kuishi?Hakutakuwa na Demokrasia ya kweli duniani ,na katika taifa lolote bila muungano...
chill man why that much?STOPNamuelewa mwamba kama unaenda kununua ndege huku wsnafunzi wanakaa chini hizo sio akil halafu unataka mkopo ndo utengenezee mambo ya elimu ikulu, ccm, jiwe, makonda , wote fvck you
Sent using Jamii Forums mobile app