M mohermes Senior Member Oct 19, 2010 124 28 Nov 1, 2010 #2 sio nguvu ya upinzani bali ni ya chama tawala
M Mtembezi Member Oct 28, 2010 43 0 Nov 1, 2010 Thread starter #3 Poa sana keep on posting beatus na wadau wengi vipi mmelala?
J JAY2da4 JF-Expert Member Nov 11, 2008 213 156 Nov 1, 2010 #4 beatus.nchota said: kote mambo yako shwari isipokuwa kwa shibuda ndo sina taarifa za hivi karibuni...kwa zitto ushindi sio swali bali alikuwa anasubiri kuapishwa tu. mnyika nae mpaka sasa tuna uhakiaka ataongeza nguvu ya upinzani bungeni Click to expand... mura tupe mambo naona hujalala leo.
beatus.nchota said: kote mambo yako shwari isipokuwa kwa shibuda ndo sina taarifa za hivi karibuni...kwa zitto ushindi sio swali bali alikuwa anasubiri kuapishwa tu. mnyika nae mpaka sasa tuna uhakiaka ataongeza nguvu ya upinzani bungeni Click to expand... mura tupe mambo naona hujalala leo.
J Jonas justin Member Oct 31, 2010 90 3 Nov 1, 2010 #6 Jamani vipi mambo yakoje huko mikoani,jamani slaa kashashinda
The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,605 6,080 Nov 1, 2010 #8 Naona mnyika safi,sijui kwa halima mdee kawe mambo yameendaje lakini mwendo mdundo pia kwake
The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,605 6,080 Nov 1, 2010 #9 Chadema tunapanda,tunapanda mazima,CCM wanashuka,wanashuka mazima.
Rutashubanyuma JF-Expert Member Sep 24, 2010 219,470 911,174 Nov 1, 2010 #10 Tunataka Chadema iwe na wabunge 106 kwa kuanzia............na mengineyo yatafuata.............
M Malunde-Malundi JF-Expert Member Jan 10, 2008 1,288 130 Nov 1, 2010 #11 Rutashubanyuma said: Tunataka Chadema iwe na wabunge 106 kwa kuanzia............na mengineyo yatafuata............. Click to expand... Pls Ruta update huko Arumeru jamani we hungry needs the results:Arusha tayari liko kibindoni
Rutashubanyuma said: Tunataka Chadema iwe na wabunge 106 kwa kuanzia............na mengineyo yatafuata............. Click to expand... Pls Ruta update huko Arumeru jamani we hungry needs the results:Arusha tayari liko kibindoni