nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 4,598
- 7,173
Mbali na mapungufu aliyonayo ila zzk Ana mazuri yake mengi.
tumbaku sio mahindi wewe ndo maana kuna makambuni ya kununua na vyama vya wakulima kuuzia huko.
ingekuwa inauzwa kama mahindi hao wanunuzi ungewaona wao hununua toka kwenye makampuni
We jamaa nimeshindwa ku rate ubongo wako hata kwenye negative hupo. Nawaza tu umewezaje hata kushika simu na ubongo huoAmesikia serikali inavutaga tumbaku mpaka inunue tena yote??
Huyi jamaa anavyozidi kuwa mtu mzima na akili zinapungua.
Nashauri wakulima hao waachane na zao hilo maana wazutaji sio wengi kama zamani , na ka mtu anajitahidi kuacha matumizi ya tumbakuJana kwenye taarifa ya habari kuna wakulima walikuwa wanalia sana sana na tumbaku imeanza kuharibika Tabora huko. Bado mwezi tu tuanze.kudaiwa school fee na pesa yote ipo ghalani,mayo weeeeew