Kuna utaratibu upo kwa mataifa makubwa yote serikali inanunua mazao yote ya ziada kwa bei ya soko au kubwa kidogo kuwa subsidize wakulima then inatafuta soko kwa mfumo wa bulk supply G to G , Ufaransa , UK , Canada ndo kabisa hadi nyanya wakizalisha sana kuliko hitaji serikali inanunua then inauzia mashirika WFP , redcross etcAmesikia serikali inavutaga tumbaku mpaka inunue tena yote??
Huyi jamaa anavyozidi kuwa mtu mzima na akili zinapungua.