Zitto: Ninaunga mkono UKAWA!

Aanzishe umoja wake...aunganishe vyama vya TLP, UDP,ADC, TPP na vingine vichovu vilivyoanzishwa kwa mkono wa CCM
ACT niwapinzani wa kweli! Kujiunga na UKAWA ni lazima hatakama CHADEMA hawataki.
 
Mnafiki mkubwa huyu bwana Zitto haaminiki hata nukta moja anaongea haya ili akaribishwe Ukawa ili atuvuruge
 
Labda aunganishe CCM,TLP na UDP waite vyama wasaliti .
 
Na kuna waliojiunga na ACT jana huku wakitamba wapo kuisambaratisha CHADEMA.... Leo mwenyekiti wao mtarajiwa akisema anaikubali UKAWA....

Unafiki huwa ni kama Mimba. Hata ukiificha itatoa matokeo baada ya miezi tisa! Unafiki wake utaendelea kufichuka kila kukicha!
 
 
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila ukawa kushirikiana na Zito kazi bure,Zito ni master plan in Tanzania political arena.
Hili Taifa tunawatu wasio jiweza kabisa, yaani UKAWA nzima ishindwe sababu ya Zitto.?

Namheshim Zitto lakini sio kwa msimamo wa kipuuzi kama huu.
 
Ni jana tu Mwingamba katangaza kuwa wanampango wa kukisambaratisha chama cha CUF,chama mojawapo kinachounda UKAWA.

Zitto badala ya kutoa tamko lolote la kukanusha ama kukubaliana na kile kilichosemwa na Mwigamba naye amekuja na lingine la kuwakubali UKAWA wakati chama chake kina viashiria vyote vinavyoonyesha kuwa kimeanzishwa rasimi kusambaratisha upinzani.
 

Enzi za agano la kale na Joshua, Angekuwa mtu kama huyu jamaa angekuwa kashauliwa zamani, usiache msaliti na mchawi aishi.
 
Mkuu nimemsikiliza kwa makini radio dewstche welle ya ujerumani,ila napenda kusema Bila ukawa kushirikiana na Zito kazi bure,Zito ni master plan in Tanzania political arena.
msaliti ataendeleza usaliti ndani ya ukawa... au umesahau alivyouza jimbo kwa Nimrod mkono? shauri yenu jamaa haamini huyo kama vp aungane na hamad rashid waanzishe umoja wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…